Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

822 results for Nasra Abdallah :

  1. PRIME Mkakati huduma ya daladala baada ya mwendokasi

    Katikati ya dhana kuwa kuimarika kwa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutawaathiri wamiliki wa daladala, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), umesema tayari utaratibu maalumu umepangwa...

  2. Mzee Kikala: Nina watoto wengi kuliko wa kwenye Kombolela

    Wakati baadhi ya watu wakimuhurumia Mzee Kikala wa kwenye tamthilia ya ‘Kombolela’ kwa mtihani anaopitia kwa kuwa na watoto wengi wasiokuwa na maadili kwenye tamthilia hiyo. Lakini kumbe katika...

  3. PRIME Mwekezaji mwendokasi Mbagala kumaliza kero abiria kupandia madirishani

    Zikiwa zimebaki siku chache kuanza kwa usafiri wa mabasi yaendayo haraka (BRT) maarufu ‘mwendokasi’ katika Barabara ya Mbagala, Kampuni ya Mofat iliyopewa zabuni ya kutoa huduma hiyo, imeeleza...

  4. Polisi Dar yatoa onyo vurugu baada ya ibada KKAM

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewatahadharisha na kutoa onyo kwa kundi la watu wanaojitokeza kutoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM) kila Jumapili kwa...

  5. Majaliwa: WCF jengeni tabia ya kutembelea maeneo ya kazi

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka watendaji wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kujenga tabia ya kutembelea maeneo ya kazi ili kuona mazingira ambayo wafanyakazi wanafanyia kazi.

  6. Taasisi ya kichina UDSM yazindua kitabu cha kujifunza kichina kilivyotafsiriwa kwa Kiswahili

    Taasisi ya kufundisha lugha ya kichina ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam(UDSM),imezindua kitabu cha kujifunza lugha ya kichina iliyo na tafsiri ya lugha ya Kiswahili.

  7. Utafiti wabaini asilimia 75 ya vyakula vilivyosindikwa havina ubora

    Asilimia 75 katika vyakula 400 vya kusindikwa vilivyofanyiwa utafiti vinavyouzwa hapa nchini vimebainika kutokuwa na ubora wa kiafya katika matumizi yake.

  8. Waliojenga daraja la Magufuli, SGR, kuwadhamini kimasomo wanafunzi wa uhandisi UDSM

    Kampuni tatu kutoka nchini China zilizotekeleza miradi mbalimbali mikubwa hapa nchini, zimeingia makubaliano ya ushirikiano na chuo kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) kwa ajili ya kuwadhamini...

  9. Waandishi waaswa kuheshimu usawa wa habari katika kipindi cha uchaguzi

    Wakati nchi ikitarajiwa kuingia katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, waandishi wa habari wametakiwa kutenda haki kwa wadau wote wa uchaguzi, na kuhakikisha wanaiacha nchi salama katika mchakato...

  10. Mbadala wa madiwani hawa hapa mabaraza yakivunjwa

    Wakati mabaraza ya madiwani kote nchini yakivunjwa rasmi leo Juni 20, 2025, majukumu yao sasa yatatekelezwa na wakurugenzi wa halmashauri pamoja na wakuu wa idara katika halmashauri hadi pale...

Page 1 of 83

Next