Search

119 results for Peter Akaro :

  1. Rema, Ayra Starr 'watishia' ufalme wa Diamond YouTube

    Tangu Diamond amejiunga YouTube Juni 12, 2011 amekusanya 'views' bilioni 2.1 na kuongoza ukanda huo lakini sasa rekodi yake inaanza kupoteza mvuto barani Afrika, hiyo ni ishara kuwa atakuja...

  2. Diamond kisiki, lakini hapa dhaifu

    "Alikuja kwangu 2008, akaniambia Mkubwa Fella, naomba uwe meneja wangu, nilimkatalia nikamwambia na wewe unataka kunitukana kama wenzako," ndivyo anaanza kusimulia Mkubwa Fella, akiweka bayana...

  3. Sababu anguko makundi ya Bongofleva

    Kadiri miaka inavyosonga, ndivyo na idadi ya makundi ya muziki wa kizazi kipya inavyozidi kupungua, masilahi duni na mabadiliko ya kimfumo vinatajwa kuchangia hilo.

  4. Amapiano isivyowatambua wasanii bongo

    Licha ya wasanii wengi na wakubwa wa Bongofleva kutoa nyimbo nyingi za miondoko ya amapiano, hakuna hata mmoja aliyepata nafasi katika tuzo za muziki huo nchini Afrika Kusini, huku wenzao wa...

  5. Wasanii na kilio cha kupigwa fedha kisasa

    Kwa zaidi ya miaka saba Harmonize hajapokea fedha yoyote ya uchapishaji na usambazaji wa muziki wake, huku zaidi ya Sh100 zikiwa zimepigwa kupitia wimbo wake ‘Kwangwaru’ aliyomshirikisha Diamond...

  6. Mauaji ya rapa AKA yanavyohusishwa na kisasi kifo cha Anele

    Msanii wa Hip Hop wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes ‘AKA’ anatarajiwa kupumzisha leo Februari 18, 2023 katika makazi yake ya milele baada ya kuuawa usiku wa Februari 10 kwa kupigwa risasi...

  7. Zuchu ambwaga Mondi vijana wenye ushawishi

    Waimbaji wa Bongofleva kutokea WCB Wasafi, Zuchu na Mbosso ndio wasaniii wa muziki pekee Tanzania waliochomoza katika orodha ya vijana 100 barani Afrika waliokuwa na ushawishi mwaka 2022.

  8. Kwa nini Bi Kidude na Kanumba hawatumii Instagram?

    Wakati nguli wa muziki wa Rege duniani, Bob Maley anafariki mwaka 1981, hakukuwa na mitandao kama Instagram, YouTube na Spotify lakini sio ajabu kumuona hii leo katika mitandao hiyo na akadiriwa...

  9. Diamond mkubwa kwenu ila sio kwa Zuchu

    Ikumbukwe Diamond anaelekea kutimiza miaka mitatu bila kutangaza rasmi uhusiano wake mpya tangu kuachana na Tanasha Donna wa Kenya Machi 2020 wakiwa wamejaliwa mtoto mmoja, Naseeb Jr aliyezaliwa...

  10. Phina asaini dili la miaka minne na Ziiki Media

    Mwimbaji wa Bongofleva aliyesumbua mwaka uliopita na ngoma 'Upo Nyonyo' na nyinginezo, Sarah Michael Kitinga 'Phina' amejiunga rasmi na kampuni kubwa ya usambazaji muziki barani Africa, Ziiki Media.

Page 1 of 12

Next