Vijana wenye ulemavu wapewa mbinu uhifadhi mazingira, kilimo Vijana wenye ulemavu wa viungo na wazazi wa watoto wenye ulemavu wa akili Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wamepewa mbinu za kutunza mazingira pamoja na kufanya kilimo cha mviringo ili kujipatia...
Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa Ukerewe Wakazi wa visiwa vya Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza wataanza kupata huduma za kibingwa za upasuaji baada ya Serikali kuamua kujenga Hospitali mpya ya Rufaa ya Mkoa.
Kanda ya Ziwa kupata intaneti ya satelaiti Wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wataanza kupata huduma ya kimtandao kwa njia ya setelaiti baada ya Kampuni ya Konnect kuzindua huduma zake jijini Mwanza.
Takukuru yakagua miradi 42, minne inamapungufu Mwanza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mwanza imekagua na kufuatilia miradi 42 inayogharimu zaidi ya Sh26 bilioni kwa kipindi cha Januari hadi Machi, 2023.
ACT Wazalendo yatoa mapendekezo Wizara ya Habari Mei 19, 2023, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye aliwasilisha taarifa Bungeni ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2022/23 na Mpango wa Makadirio ya Mapato na...
Tatizo la kichwa kujaa maji huwakumba watu wazima pia Kwa binadamu umuhimu wa maji unadhihirishwa na ukweli kwamba asilimia 75 ya mwili unaundwa na maji huku asilimia 25 inayosalia inaundwa na mifupa, nyama na mishipa.
DC Masala: Hatujafungia baa, tumezuia kelele za muziki Baa zinazobainika kukiuka sheria ya mazingira kwa kupiga muziki kwa sauti ya juu kinyume cha sheria huchukuliwa hatua mbalimbali ikiwemo ama kuagizwa kusitisha kupiga muziki kwa sauti ya juu au...
Bodi ya nafaka yatenga Sh100 bilioni kununua mazao nchini Bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko nchini (CPB) imetenga Sh100 bilioni kununua tani 115, 000 ya mazao nchi nzima kwa mwaka wa fedha 2023/24 unaoanza Julai mwaka huu.
Uhamisho wa Chalamila, Makalla gumzo Panga pangua ya wakuu wa mikoa iliyofanyika juzi imezua mjadala, huku gumzo zaidi likimhusu Albert Chalamila, aliyehamishiwa Dar es Salaam kutoka Kagera, ambaye wadau wamemtaka awe msikilizaji na...
Siku 267 za Malima na Chalamila Kanda ya Ziwa Uteuzi wa wote wawili pamoja na wenzao kadhaa ulifanyika Julai 28, 2022 kwa Malima kuhamishiwa Mwanza akitokea Mkoa wa Tanga kwa wadhifa huo huo wakati Chalamila akienda Mkoa wa Kagera akitokea...