PRIME Inawezekana kuwa wenza bila mapenzi ya mwili Lakini miongoni mwa vijana wa kizazi cha sasa, upo mtazamo mpya unaochipuka — upendo wa ‘kiplatoniki’, yaani, ule wa kirafiki wa kina usiohusisha uhusiano wa kimapenzi au kingono, unazidi kupewa...
PRIME Nzengo: Nguvu ya mshikamano Kanda ya Ziwa Katika miji na vijiji vya mikoa ya Kanda ya Ziwa, sauti ya kilio au yowe inaposikika kuashiria tatizo, ikiwamo taarifa za kifo, mfumo wa kijamii uitwao nzengo huchukua nafasi yake.
PRIME Mbinu saba za kukuza uwezo wa akili, kufikiri Kuna tabia na mazoezi yanayoweza kusaidia na kukuza uwezo wa akili, na kwamba endapo yatazingatiwa, yanaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa mtu kupata magonjwa ya akili.
RC Mtanda ataka mabadiliko Jiji la Mwanza, makazi duni kuondolewa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewataka wataalamu wa sekta ya ardhi kuwa wabunifu na kuanzisha miradi mikubwa itakayobadilisha sura ya Jiji la Mwanza na kuondoa makazi duni yaliyopo...
PRIME Wengi huoa, kuolewa nje ya machaguo yao Unajua kuna watu wameoa au kuolewa na wenza waliotafutiwa na wazazi wao?
Mwenza wako ana gubu, mpenda lawama? Katika muktadha wa makala haya, lawama ni hali ya kumtupia mwenza au mpenzi mzigo wa makosa, matatizo au hali mbaya inayojitokeza katika ndoa au uhusiano.
PRIME Ratiba ya kuoga inavyogonganisha wataalam, wananchi Primrose Freestone, mhadhiri mwandamizi wa microbiolojia katika Chuo Kikuu cha Leicester, amekuja na jibu ambalo ni habari mbaya kwa wanaopendelea kuoga usiku.
Wenza wa viongozi wawauma sikio wajasiriamali fursa daraja la JP Magufuli Umoja wa wenza wa viongozi wa kitaifa, Ladies of New Millennium Women Group, umewataka wanawake wajasiriamali kutumia daraja la JP Magufuli kupanua biashara zao ndani na nje ya Kanda ya Ziwa.
Tasaf ilivyoondoa adha ya huduma ya upasuaji Fumagila Wananchi wa Kata ya Kishili Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, wameondokana na changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za upasuaji baada ya kukamilika kwa ujenzi wa jengo la upasuaji...
PRIME Mfahamu Dk Alicia Massenga Mkurugenzi mpya wa Bugando Taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumatatu, Juni 23, 2025 na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk Bahati Wajanga imesema Dk Alicia ataanza majukumu yake leo.