Kituo cha sayansi kwa vitendo kujengwa Dodoma, kuzalisha wanasayansi
Katika kuwazalisha wataalamu wa sayansi, teknolojia na ubunifu kupitia mafunzo kwa vitendo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeitaka Taasisi ya Projekt Inspire kujenga kituo kikubwa cha...