Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

615 results for Sute Kamwelwe :

  1. Rais wa Somalia anusurika kifo bomu la Al Shabab

    Kundi la Al Shabab nchini Somalia limekiri kuhusika kwenye shambulio la bomu lililomlenga Rais wa nchi hiyo, Hassan Sheikh Mohamud.

  2. Wadau watofautiana wahitimu elimu ya juu, kwenda Veta

    Mjadala wa wahitimu wa vyuo vikuu kwenda kupata ujuzi vyuo vya ufundi stadi (Veta) bado haujapoa. Wadau mbalimbali wameuendelea wakichambua kwa mitazamo tofauti.

  3. Simulizi mvuvi aliyepotea baharini siku 95 akila mende, ndege

    Unaweza kuiita ajali kazini ili ueleweke kwa haraka, baada ya mvuvi Maximo Castro kutoka nchini Peru kupotea baharini kwa takriban siku 95 wakati alipokwenda kuvua samaki.

  4. Wakazi Dar waeleza walivyohenyeka kusaka maji

    Akizungumza katika ziara hiyo, Aweso amesisitiza umuhimu wa kutunza miundombinu katika kipindi hiki ambacho mamlaka inaendelea na mchakato wa kuwaunganishia wananchi huduma hiyo.

  5. Changamoto sekta ya maji zatajwa

    Mabadiliko ya tabianchi, upotevu, wizi kwa baadhi ya watu na gharama za utekelezaji wa miradi ya maji zimetajwa kuwa changamoto zinazoikabili sekta ya maji huku Wizara ikisisitiza umuhimu wa...

  6. ERB yawatangazia fursa walimu wa sayansi

    Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya walimu wa masomo ya Sayansi shule za Sekondari, Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) imetangaza nafasi za kujitolea kwa walimu wa masomo ya Fizikia...

  7. Kituo cha sayansi kwa vitendo kujengwa Dodoma, kuzalisha wanasayansi

    Katika kuwazalisha wataalamu wa sayansi, teknolojia na ubunifu kupitia mafunzo kwa vitendo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeitaka Taasisi ya Projekt Inspire kujenga kituo kikubwa cha...

  8. Odinga amkingia kifua Rais Ruto

    Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amewajibu wakosoaji wa Serikali ya Rais William Ruto wanaotaka aondoke madarakani huku akisema wanataka atoke aende wapi.

  9. Ireland yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania

    Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Ireland, Neale Richmond, amesema nchi yake itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kukuza maendeleo endelevu kupitia miradi yenye tija kwa wananchi.

  10. Serikali: Ugonjwa wa Marburg umemalizika Biharamulo

    Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya, Jenista Mhagama imetangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg katika Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.

Page 1 of 62

Next