Urais DRC pasua kichwa, mwingine ajiengua Inaelezwa hatua hiyo inatajwa kuimarisha umoja wa upinzani katika juhudi za kumng’oa Rais Felix Tshisekedi aliyepo madarakani akitafuta ngwe ya pili.
CCM, Chadema vyawalilia waliofariki kwa mafuriko Hanang Baada ya taarifa ya vifo vilivyosababishwa na mafuriko ya tope katika eneo la Katesh na Gendabi wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara, Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Mtaala kujumuisha elimu ya dini mbioni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amezindua kitabu cha elimu ya dini ya Kiislamu kitakachotumika kufundishia elimu hiyo kuanzia mwakani.
Bawacha yapigilia msumari sakata la Pauline Gekul Ikiwa ni takriban wiki moja tangu ziibuke tuhuma za unyanyasaji wa kijana kijana Hashim Ally zinazodaiwa kufanywa na Mbunge wa Babati mjini, Pauline Gekul, Baraza la Wanawake Chadema, (Bawacha)...
Amuua mkewe kisha kuzunguka na mwili baa akinywa pombe Polisi wa kaunti ya Kericho nchini Kenya wako katika uchunguzi wa tukio la mwanaume mmoja kutoka eneo hilo aliyedaiwa kumuua mkewe, kisha kuzunguka na mwili huo baa akinywa pombe.
Adaiwa kumuua mama yake mzazi kisa ndizi Inadaiwa Irungu alianza kugombana na mama yake akimtaka ampatie ugali badala ya ndizi alizokuwa amepika.
Wanawake kufanyiwa upasuaji kurekebisha maumbile bure Upasuaji huo unaotarajiwa kuanza kesho Novemba 28 hadi Desemba 2, 2023 jijini Dar es Salaam katika hospitali ya Aga Khan, unalenga kurejesha uwezo wa kutembea kwa watu hao.
Kiama cha wadaiwa sugu Tanesco chaja Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kukata umeme kwa wadaiwa wote wasiolipa gharama za kutumia huduma hiyo.
Polisi aliyemuua George Floyd ahofiwa kuchomwa kisu gerezani Aliyekuwa ofisa wa Polisi wa Minneapolis nchini Marekani, Derek Chauvin ambaye alikutwa na hatia ya kutekeleza mauaji ya Mmarekani George Floyd amedaiwa kuchomwa kisu akiwa gerezani.
Mafua yakwamisha mkutano wa Papa Francis Mkutano wa Papa uliokuwa ufanyike jana Jumamosi umeahirishwa kutokana na hali ya kiafya ya kiongozi huyo mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani.