Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

719 results for Sute Kamwelwe :

  1. Kinyerezi III sasa kuingiza megawati 1,000 gridi ya Taifa

    Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme kila siku, Serikali imetangaza kuanza kutekeleza mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa gesi cha Kinyerezi III, kitakachozalisha megawati...

  2. Nafasi ya vyombo vya habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Wadau wa habari nchini wameeleza mchango wa vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu, huku wakisisitiza kipimo muhimu cha demokrasia katika nchi yoyote duniani ni nafasi ya uhuru...

  3. Kibano malipo YouTube chaja, wategemea AI ‘mmekwisha’

    Mtandao wa YouTube umetangaza kuja na sera mpya itakayogusa hadi eneo la malipo ambapo ili upate pesa lazima utengeneze video za uhalisia na sio za ubunifu kama za Akili Mnemba (AI).

  4. DCEA yabaini mbinu mpya kusafirisha dawa za kulevya kupitia fuvu la maiti

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema imebaini mbinu ya kusafirisha dawa za kulevya inayotumiwa na baadhi ya wahalifu kupitia maiti za binadamu maarufu kwa jina la...

  5. CUF kupata mgombea urais Agosti

    Wakati makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiendelea kujitokeza kuchukua fomu kuomba ridhaa za chama chao kugombea nafasi za udiwani, ubunge na urais chama hicho kimesema kinatarajia kufanya...

  6. Rais Samia akipigia debe Kiswahili Comoro, aahidi msaada wa walimu, vifaa

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Kiswahili ndicho lugha pekee ya Kiafrika inayoweza kuunganisha watu wa bara zima katika nyanja za mawasiliano, elimu na biashara.

  7. Takukuru: Viongozi wa dini waelezeni waumini rushwa ni mbaya, haifai kuelekea uchaguzi

    Viongozi wa dini watakiwa kuwahamasisha waumini wasijihusishe na vitendo vya rushwa hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

  8. PRIME Namna ya kulikwepa jinamizi la ajali za barabarani

    Kila mtu akitimiza wajibu wake barabarani basi tutamaliza kama siyo kupunguza kabisa ajali hizo ambazo zinasababisha vifo, majeruhi, uharibifu wa mali pamoja na umasikini.

  9. Watu milioni 14 wanaweza kufariki baada ya USAID kupunguza misaada

    Utafiti uliochapishwa kwenye jarida la The Lancet jana Jumatatu umebaini hatua ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kupunguza msaada wa kifedha inaweza kusababisha vifo zaidi...

  10. Muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye maandamano afariki

    Taarifa kutoka nchini Kenya zinasema kijana muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye hekaheka za maandamano ya Juni 17, 2025 amefariki dunia.

Page 1 of 72

Next