Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

VIDEO: NEC yaongeza siku mbili za kuapisha mawakala

VIDEO: NEC yaongeza siku mbili za kuapisha mawakala

Muktasari:

Amesema ni lazima vyama vipeleke orodha ya mawakala na kuwapanga katika vituo pamoja na anuani zao na namba za simu.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa leo Jumatano Oktoba 21,  2020 imeongeza muda wa kuapisha mawakala wa vyama siasa hadi Oktoba 23,  amesema  Dk Wilson Mahera.
Amesema ni lazima vyama vipeleke orodha ya mawakala na kuwapanga katika vituo pamoja na anuani zao na namba za simu.