Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Sugu amtumia salamu Gambo

Aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi (Sugu)

Muktasari:

Aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi (Sugu) amemkaribisha Tanzania aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema leo Jumatano Machi 1, 2023.

  

Arusha. Aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi (Sugu) amemkaribisha Tanzania aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema leo Jumatano Machi 1, 2023.

Lema amewasili leo Jumatano Machi 1, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjarao (KIA) akitokea Canada alikokimbilia baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Lema amewasili mchana akiwa na familia yake na kupokewa na mamia ya wanachama na wafuasi wa Chadema

Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Relini Arusha Sugu amesema, “kwa dogo Gambo hii ni salamu namwambia dogo kama hajajenga ajiandae kwenda kukaa kwenye geto la familia kule Ilala, lakini naamini ni mtundu mtundu”