Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Watatu wafariki mzozo wa Ukraine

Muktasari:

  • Takribani watu raia wa Ukraine wamefariki  katika shambulio la bomu llililofanywa na vikosi vya Urusi mapema leo.

Takribani watu raia wa Ukraine wamefariki  katika shambulio la bomu llililofanywa na vikosi vya Urusi mapema leo.

Idara ya walinzi wa mipakani wa Ukraine imehibitisha wakati ikitaja hasara iliyopatikana kwenye shambulio hilo ambalo Urusi limeliita operesheni ya kijeshi.