1. Fahamu historia ya urembo vikuku

    Pelagia Daniel

  2. Hawa hapa mahausigeli wenye digrii, waeleza walivyozipata

    Tumekuwa tukisikia namna baadhi ya Watanzania wanaokwenda nchi zilizoendelea wanavyosoma huku wanafanya kazi za majumbani kwa watu katika muda wao wa ziada na hii sio kwa wanaosoma vyuo vya kati...

  3. Chanzo na njia ya kuondoa harufu mbaya mwilini

    Tatizo la harufu mbaya mwilini inayohusisha jasho, ni changamoto inayowakabili wengi na huwa kero kwa wale wanaomzunguka mtu mwenye tatizo hilo.

  4. Tahadhari Serikali ikibariki mtalaa wa Akili Bandia

    Ni dunia ya mabadiliko makubwa ya teknolojia. Ni upepo ambao Tanzania haiwezi kuuepa kama kweli inatajka kupiga hatua ya maendeleo.

  5. Tokelezea kimtindo katika msimu huu wa mvua

    Damini koti - ni aina ya koti lenye kitambaa cha jeans nzito inayoweza kukinga baridi. Siku za hivi karibuni koti hizi zimekuwa zikivaliwa sana na kuwa mtindo unaotrendi, si kwa wanaume wala...

  6. PRIME Loveness: Mimi ni mwanamke, nitaolewa na nitazaa

    Uso wake ukiwa umepambwa na tabasamu, Loveness (37) alimkaribisha mwandishi na kwa haraka akaanza kuonyesha misuli aliyonayo, akifahamu fika shauku ya wengi ni kujua uhalisia wa mwili wake.

  7. Madaktari wataja sababu kitanzi kupotelea mwilini

    Kitanzi ni moja ya njia za uzazi wa mpango, ambacho mwanamke huwekewa kupitia ukeni ili kuzuia mimba.

  8. Njia bora wenye maambukizi ya VVU kujifungua watoto salama

    Mapambano ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, yanaweza kufanikiwa kwa kipindi kifupi kama wajawazito watahudhuria kliniki kwa mara ya kwanza chini ya wiki...

  9. Anko Zumo anavyopiga pesa kupitia familia

    "Alitakiwa mwigizaji wa kike, wakati huo hatuna pesa ya kumlipa, ili kupata urahisi nikamwambia mke wangu, mama Mai kuna moja, mbili, tatu, unaweza?,anaanza kuelezea Anko Zumo namna alivyoiingiza...

  10. Umuhimu wa chanjo ya HPV kwa wanawake

    HPV ni kifupisho cha kitabibu cha Human Papilloma Virus ambavyo ni aina ya virusi ambavyo ni kihatarishi kikuu kwa maelfu ya wanawake wanaopata saratani ya mlango wa kizazi.

  11. Simulizi aliyepona upofu uliosababishwa na kisukari

    Matatizo ya macho yapo mengi katika jamii, yanatibika iwapo mgonjwa ataonana na daktari mara anapoona dalili, ikiwemo kupoteza uwezo wa kuona.

  12. Hatari ya kula chakula kilicholala

    Chakula kilicholala, yaani kiporo ni miongoni mwa vyakula ambavyo haviepukiki katika familia nyingi kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo kukosa muda wa kukitayarisha unaotokana na shughuli za...

  13. Sababu ugonjwa wa mifupa kuwasumbua zaidi wanawake

    Chakula kilicholala, yaani kiporo ni miongoni mwa vyakula ambavyo haviepukiki katika familia nyingi kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo kukosa muda wa kukitayarisha unaotokana na shughuli za...

  14. Patrick Mission inavyojikita zaidi kumuandaa mwanafunzi kujiajiri

    Mtaalamu wa Saikolojia, Charles Nduku aliwahi kusema kwa asilimia 70 mtoto huelewa na kujifunza haraka kwa kile anachokiona kwa vitendo.

  15. PRIME Wazazi wanavyofifisha jitihada za kuinua elimu Korogwe

    Akiwa madarakani mwasisi wa taifa hili, Mwalimu Julius Nyerere alianzisha vita dhidi ya maadui watatu; ujinga, maradhi na umaskini.

  16. Hospitali ya ‘Kokilaben Dhirubhai Ambani’ kunoa wataalamu nchini

    Zikiwa zimepita wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye ziara ya kikazi nchini India, Hospitali ya matibabu bingwa nchini humo ya Kokilaben Dhirubhai Ambani inatarajia kufungua tawi lake...

  17. Magonjwa ya zinaa yakishika kasi, unyanyapaa kizingiti

    Magonjwa ya zinaa yanatajwa kuongeza hatari ya ugumba, matatizo ya ujauzito, saratani, maambukizi ya VVU na Ukimwi. Miongoni mwa magonjwa hayo, kaswende inawaathiri wengi kutokana na takwimu...

  18. Maajabu ya mtoto mwenye mtindio wa ubongo shuleni

    Mtoto Joan Minja (11), amedhihirisha kwamba watoto mwenye ulemavu wakijengewa mazingira mazuri ya kielimu anaweza kufanya vizuri kitaaluma kutokana na kufanya vizuri darasani tangu akiwa darasa...

  19. Tiba ya methadone inavyorudisha matumaini kwa vijana

    Vijana wengi wameathirika kiafya kwa kupata maambukizi ya magonjwa sugu, yakiwamo ya virusi vya Ukimwi, kifua kikuu na homa ya ini, huku wengine wakijikuta wakijiingiza katika uhalifu wa uporaji...

  20. Mercy aiangukia tasnia ya urembo

    Mratibu wa Miss Utalii nchini, Erasto Chipungahelo amesema tasnia ya urembo ni taaluma kama taaluma kama taaluma zingine hivyo washiriki hawana budi kutambua hilo.