VIDEO-Mdee aibana Serikali madeni ya mifuko ya hifadhi, Serikali yatoa maelezo
Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee ameibana Serikali akitaka kujua mpaka sasa inadaiwa kiasi gani cha fedha ambazo imekopa kutoka Mifuko ya Hifadhi za Jamii.
Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee ameibana Serikali akitaka kujua mpaka sasa inadaiwa kiasi gani cha fedha ambazo imekopa kutoka Mifuko ya Hifadhi za Jamii.