Tanzania kinara wa amani zaidi Afrika Mashariki Tanzania imetajwa kuwa nchi yenye amani zaidi Afrika Mashariki kwa mwaka 2025, kulingana na ripoti ya hivi karibuni ya Global Peace Index (GPI) iliyotolewa na Taasisi ya Uchumi na Amani...
Kicheko kwa wasafirishaji wa Tanzania, Dubai ikiletwa ndege ya mizigo Huduma hii mpya ya mizigo kwa njia ya anga, inayoendeshwa na kampuni ya Tanzania ya Xerin Group Limited, itatumia ndege aina ya B737-800 freighter yenye uwezo wa kubeba hadi tani 20 kwa safari moja.
Kamati ya Sera ya Fedha yapunguza riba kuongeza pesa kwenye mzunguko Mwenyekiti wa MPC, Emmanuel Tutuba akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 3, 2025 amesema lengo la hatua hiyo ni kuongeza fedha katika mzunguko kipindi ambacho ni cha mavuno ili kuwezesha...
PRIME Mgogoro wa Israel, Iran utakavyoiathiri Tanzania kiuchumi Kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kiuchumi na biashara, mzozo huu unaweza kuathiri kwa kiwango kikubwa bei ya mafuta duniani, kuibua wasiwasi wa mfumuko wa bei, na kusababisha taharuki...
PRIME Sarakasi za dabi zinavyotoboa mifuko ya watu Sarakasi hizi sasa si tu zimevuruga ratiba ya ligi, bali zimewatoa jasho wafanyabiashara, mashabiki, wadhamini, wamiliki wa haki za matangazo, na hata kuiweka kwenye hatari taswira ya Tanzania...
PRIME Mapinduzi ya kidijitali yanavyobadili namna ya uwekezaji Ripoti ya Mwaka ya Mfumo wa Malipo wa Taifa iliyotolewa hivi karibuni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), 2024 ilionyesha kuwa miamala ya mikopo ya kidijitali nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia...
Sababu Tanzania kuwa nyuma mauzo ya Tanzanite yake duniani Tanzanite ni jiwe adimu linalopatikana katika milima ya Mirerani nchini Tanzania pekee, karibu na Mlima Kilimanjaro, lina thamani kubwa duniani kutokana na upatikanaji wake pamoja na rangi yake...
PRIME Mvutano wa Tanzania na Malawi umemalizwa hivi Aprili 23, 2025, Wizara ya Kilimo, ilitangaza kuzuia mazao kutoka nchi za Afrika Kusini na Malawi kuingia katika mipaka ya Tanzania hadi hapo hatua zitakapochukuliwa na nchi hizo kuruhusu mazao...
PRIME Wachumi wachambua nyongeza ya mshahara ya Serikali Kwa tangazo hilo la Rais, sasa kima cha chini cha mshahara kitakuwa Sh500,000 kutoka Sh370,000 iliyokuwa ikilipwa kabla ya makato ya kodi.
Tuamini nini kama Tanesco haiaminiki? Kuna jambo ambalo linazidi kushika kasi katika jamii yetu, hasa linapokuja suala la maandalizi ya mikutano mikubwa ya kitaifa na kimataifa. Ni jambo ambalo, kwa mtazamo wa haraka linaweza...