Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. PRIME Mama asimulia mwanaye aliyeuawa kwa kipigo…

    “Mama nimepigwa sana… mama nisaidie, sijaleta vitu, nimekuja mama yangu unisaidie, nakufa nisaidie.”

  2. Polisi yawanasa watuhumiwa madai mauaji ya kijana kwa kipigo Geita

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu wawili akiwemo Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Liyobahika, Ferdinand Antony kwa tuhuma za mauaji ya kijana Enock Mhangwa, huku watuhumiwa wengine...

  3. Wajane Geita washauriwa kutorubuniwa kuingia ndoa za shinikizo

    Badala yake, wametakiwa wajitambue, wawalee watoto wao kwa upendo, na wajielekeze katika shughuli za kujitegemea ili kujijengea maisha bora na yenye heshima.

  4. Kauli ya Trump yatikisa utendaji NGOs Geita

    Akisoma taarifa ya mwaka ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) mkoani Geita, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nelico, Alex Majogoro amesema kutokana na uamuzi wa Trump kusitisha asilimia 90 ya...

  5. PRIME Mchuano mkali CCM majimbo ya Geita, wajumbe kuamua hatima

    Wachambuzi wanasema huenda kura ya maoni ya mwaka huu ndani ya CCM ikawa na mvutano mkubwa, migawanyiko ya makundi na labda pia uamuzi mgumu kwa chama.

  6. Punguzo la tozo kicheko kwa wauza madini BoT

    Katibu tawala Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuongeza ujuzi kwa wachimbaji wadogo wa madini yaliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana...

    New Content Item (1)
  7. Wananchi wanaoishi ndani ya leseni ya mgodi waandamana wakitaka kujua hatima yao

    Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya Katomaini, Magema, Mzingamo na Ikumbayaga, vilivyoko katika Mtaa wa Nyamalembo, Manispaa ya Geita, wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita wakitaka...

  8. Moto wateketeza maduka 17, gari la zimamoto laongeza kilio

    Moto huo umefanikiwa kuzimwa na wananchi wakishirikiana na Jeshi la Zimamoto.

  9. Sh68 bilioni za Tasaf zatekeleza miradi 353 ya maendeleo Geita

    Amesema kwa lengo la kukuza uchumi wa kaya, vikundi 1,795 vyenye wanachama 24,643 vimesajiliwa na tayari vimeweka akiba ya zaidi ya Sh509 milioni.

  10. Sh200 milioni zatekeleza miradi ya kijamii Buziba

    Mgodi wa dhahabu wa Mwamba uliopo katika Kijiji cha Buziba, Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita umetumia zaidi ya Sh200 milioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kijamii ikiwemo ya elimu na afya.

Page 1 of 70

Next