Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1763 results for Zitto Kabwe :

  1. ACT Wazalendo yailima barua Polisi kuhusu taarifa za watiania, yajibu

    Wakati Chama cha ACT-Wazalendo kikidai kimemuandikia barua Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Camilius Wambura kumtaka kusimamisha amri aliyoitoa kwenda kwa makamanda wa Polisi wa Wilaya ya...

  2. PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Profesa Kitila, umezunguka sana lakini jawabu ni Katiba mpya

    Jumanne ya Julai 8, 2025 nilipata bahati ya kufuatilia mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), akielezea mchakato...

  3. ACT­-Wazalendo yazngumzia tembo wanaoharibu mazao, wataja mkakati kukabiliana nayo

    Kuvuna tembo na kupitia upya mipaka ya hifadhi ni miongoni mwa mambo yatakayotekelezwa na Chama cha ACT –Wazalendo, ili kupunguza changamoto ya uharibifu wa mazao na madhara kwa binadamu...

  4. PRIME ACT Wazalendo inavyotumia changamoto za watawala kama fursa ya kuvuna wafuasi

    Migogoro ya ardhi kati ya wananchi na maeneo ya hifadhi, ukiukwaji haki za raia, utekelezaji wa miradi, ajira na umasikini, ndizo changamoto zinazotumiwa na Chama cha ACT Wazalendo kama fursa ya...

  5. ACT-Wazalendo: Tutafuta ushuru wa mazao

    Ili kuleta unafuu kwa wakulima wa kuuza mazao yao kwa ufanisi na kujikimu kimaisha, Chama cha ACT- Wazalendo, kimesema kitafuta ushuru wa mazao endapo kitashika madaraka katika Uchaguzi Mkuu wa...

  6. PRIME Sifa kuwa mbunge inavyotikisa, wadau wanataka mabadiliko

    Bunge ni chombo cha kutunga sheria katika nchi na ndiyo chombo cha uwakilishi wa wananchi na kuisimamia Serikali katika mambo mbalimbali yanayofanyika na mwisho wa siku, ni kuhakikisha kwamba...

  7. ACT-Wazalendo yajizatiti kupigania Liganga-Mchuchuma

    Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kitaendelea kuuvalia njuga suala la Liganga na Mchuchuma ambao ni mradi wa kimkakati unaolenga kukuza uchumi wa viwanda kwa kuanzisha sekta za msingi...

  8. ACT Wazalendo yamjibu Rais Samia kuhusu amani, utulivu

    Kauli ya Dorothy inajibu kilichoelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa hema la Kanisa la Arise and Shine, aliposisitiza kuendelea kuwepo kwa amani na utulivu nchini.

  9. ACT Wazalendo: Mapambano hayahitaji kutundika daruga

    Chama cha ACT-Wazalendo kimesisitiza kuwa mapambano dhidi ya watawala si ya muda mfupi, bali ni safari ya muda mrefu inayohitaji uvumilivu na msimamo thabiti.

  10. PRIME Siku 30 za ACT Wazalendo kujenga msingi wa ushindi

    Katika siku saba tangu kuanza kwa Julai 2025, Chama cha ACT Wazalendo kimekuwa kwenye harakati za kisiasa katika maeneo mbalimbali nchini, kupitia kampeni iliyopewa jina la Operesheni ‘Majimaji...

Page 1 of 177

Next