Search

38 results for Richard Mabala :

  1. Mabala: Walimu wapewe posho mazingira magumu

    Wadau wa elimu wameshauri walimu kupewa motisha ikiwemo posho kwa wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwapa ari ya kufundisha na kukuza elimu nchini.

  2. Kiingereza bado shida matokeo darasa la saba

    Wakati asilimia 67.7 ya wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu wakipata daraja D katika somo la Kiingreza, wadau wamesema shule za sekondari zinakwenda kupata mzigo mkubwa.

  3. Taasisi ya Maalim Seif kuwakutanisha vigogo Zanzibar

    Mkutano wa pili wa Taasisi ya Maalim Seif Foundation (MSF) utafanyika Oktoba 22 na 23, 2022 wenye lengo la kumuenzi Hayati Maalim Seif Sharif Hamad aliyefariki dunia Februari 17, 2021.

  4. Tozo Toziana

    Mimi sina haja ya kusoma magazeti au kuangalia taarifa ya habari au hata kujiunga na Jamhuri ya Twitter kujua kwamba hali si nzuri. Hali ya mlango wangu wa mbele huwa ni kiashiria tosha cha hali...

  5. UWAZIIII ZIIII!

    Sijui kama majirani wamefikia mwisho wa mchakato wao au kama bado muvi inaendelea, lakini mimi kwanza sina budi kuwalaumu sana kwa kuvuruga usingizi wangu na njozi ya ajabu kabisa. Niliota hivi.

  6. Profesa Mkumbo: Lugha ya kufundishia isitumike kuficha changamoto za elimu

    Ni mvutano wa wasomi katika mjadala wa lugha Kiswahili itumike kuwa ya kufundishia, wakati wengine wakiunga mkono, baadhi yao wamepinga hilo wakisema Kiingereza na Kiswahili zitumike pamoja.

  7. No kushikwa. No mshiko

    Makengeza, Waswahili husema siku njema huonekana asubuhi. Sasa sijui siku mbaya pia? Au siku ya ugomvi na mikinzano huonekana alfajiri?

  8. Mbowe alia ubaguzi katika mfumo wa elimu

    Mjadala wa lugha gani itumike kufundishia katika mfumo wa elimu, mara nyingi umekuwa ukiibua hisia mbalimbali miongoni mwa wadau wa elimu nchini.

  9. Kisa Mabala kuukana uraia wa Uingereza

    Ukikutana naye kwa mara ya kwanza, hutaamini kuwa mzungu huyu ni raia wa Tanzania na tena ni mlumbi wa Kiswahili pengine kuliko Waswahili wengi wa asili.

  10. MAKENGEZA: Kazi ndiyo sifa, sifa siyo kazi

    Leo nilipofungua barua pepe zangu, nilifurahi sana kuona kuna rafiki yangu wa siku nyigi ameniandikia. Aheri yeye mara milioni kuliko Musa Lendo. Nilifurahi zaidi niliposoma, nilicheka sana.

Previous

Page 2 of 4

Next