Mwana FA kutoka kuwa mwanaHip Hop hadi U-naibu waziri Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Muheza, Hamis Mohamed Mwinjuma ‘Mwana FA’ kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Nape: Mwananchi mmethibitisha ubora wenu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameitaja Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuwa moja ya chombo bora cha habari katika ulimwengu wa sasa.
Nape azindua mwonekano mpya wa tovuti za MCL Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amezindua mwonekano mpya wa tovuti za Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti zinazomilikiwa na kuendeshwa na Kampuni ya Mwananchi...
Rais Samia ateua wakuu wa mikoa wapya, tisa watemwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa wapya, kuwahamisha vituo vya kazi waliokuwepo, huku akiwatema tisa akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi.
Tunawezesha Taifa za watu kuanzia wenye kipato cha chini, cha kati na cha juu. Kukuletea taarifa sahihi kwa uthabiti: Tutaendelea kuwa chombo kinachowapa wasomaji na watazamaji uhakika wa maudhui yanayosambaa...
Rais Samia: Hatuwezi kuajiri kila mwaka Rais Samia Suluhu Hassan ameliagiza jeshi la magereza kuhakikisha askari wake waliopanda vyeo kuendelea kutekeleza majukumu yao na kuacha tabia ya kurundikana ofisini pasipokuwa na kazi.
Rais Samia, Mbowe wateta Ikulu Saa chache baada ya kutoka gerezani mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekutana na Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dk Mwigulu asema benki ziliishiwa pumzi Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameifufua sekta ya fedha nchini baada ya kupitia kipindi kigumu japo haikuwahi kusemwa ambacho amesema benki nyingi ziliishiwa...
VIDEO- Kauli ya kwanza ya Mbowe akitoka gerezani Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewaambia waandishi wa habari waliomfuata kutoka gerezani hadi nyumbani kwake kuwa sasa ni wakati wa kunyamaza, lakini atakuja kuzungumza na viongozi na...
Balozi wa Marekani: Kufutwa kesi ya Mbowe fursa Tanzania kubadili ukurasa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Donald Wright amesema kufutwa kwa kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu ni fursa kwa Tanzania kubadili ukurasa.