Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. Majeruhi wa ajali ya ‘ambulance’ Same ahamishiwa KCMC

    Mmoja wa majeruhi wa ajali iliyouwa muuguzi na dereva wa zahanati ya Kisiwani wilayani Same,Parasetwi Peutu(50) amehamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini(KCMC) baada ya kuumia...

  2. Muuguzi, dereva gari la wagonjwa wafa ajalini

    Muuguzi wa zahanati ya Kisiwani na dereva wa gari la wagonjwa wamefariki dunia baada ya gari hilo kupinduka wakati wakimuwahisha mgonjwa hospitali.

  3. RC Kilimanjaro ataka ahusishwe kukamatwa wanaopotosha chanjo corona

    Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai ameagiza kukamatwa kwa mtu yeyote atakayejihusisha na kupotosha kuhusu chanjo ya corona na vyombo vya Dola vimhusishe katika kuandaa mashitaka.

  4. Wanandoa waliozaliwa siku moja, wafa na kuzikwa siku moja

    Ni Mshangao na Maajabu ya aina yake yaliyoambatana na Simanzi na Vilio pale Wanandoa wawili waliozaliwa siku moja,mwaka mmoja na kufariki siku moja ambapo wamezikwa leo kwa pamoja katika kata...

  5. Hali halisi biashara ya kusafirisha maiti Dar

    Wakati Serikali ikitangaza ongezeko la wagonjwa wa corona na vifo vyake, biashara ya usafirishaji maiti imeonekana kushika kasi zaidi wakati huu, Mwananchi limebaini.

  6. Sita mbaroni wakituhumiwa kuchoma nyumba Hanang'

    Mgogoro wa ardhi kwa baadhi ya wana Kijiji cha Dirma Wilayani Hanang' wanaodaiwa kuvamia eneo la hifadhi ya msitu wanadaiwa kuchoma nyumba moja na kubomoa nne za kaya ya wakazi wa Waama

  7. Ajuza afariki Moshi akiwa na miaka 106

    Bibi Iluminata Mosha aliyefariki dunia akiwa na miaka 106 huenda akaweka historia ya kufa akiwa na umri mkubwa zaidi nchini Tanzania na nchi za Afrika Mashariki.

  8. Marufuku kupanda basi, daladala bila barakoa

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Stephen Kagaigai amepiga marufuku abiria wanaoingia ndani ya daladala na mabasi yaendayo mikoani kutoruhusiwa kuingia bila kuvaa barakoa ili kupunguza maambukizi ya...

  9. Mghwira aagwa Arusha

    Shughuli za kuendelea kumuaga aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira zinaendelea nyumbani kwake Manyata Jijini Arusha huku tahadhari za ugonjwa wa corona zikiendelea kuchukuliwa.

  10. Simbachawene awaonya polisi kubambikia watu kesi

    Waziri Simbachawene ameshauri mafunzo ya polisi kuongezwa kutoka miezi tisa hadi 12 ili kukabili changamoto ya ukosefu wa uadilifu miongoni mwa askari.

Previous

Page 127 of 145

Next