Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

886 results for Florah Temba :

  1. Mtoto mchanga akutwa amekufa kwenye maji Moshi

    Mtoto huyu anaonekana alitupwa hapo kwenye maji siku mbili au tatu zilizopita, maana tayari alianza kuliwa na wadudu wa kwenye maji.

  2. Ofisa kilimo Moshi atupwa jela kwa kumjeruhi binti wa kazi

    Akitoa hukumu Septemba 20, 2024 hakimu Mkisi alisema baada ya mahakama kujiridhisha pasi na shaka na ushahidi uliotolewa mahakamani, mshitakiwa alitiwa hatiani kwa kutenda kosa hilo na kuhukumiwa.

  3. KKKT yakemea matukio ya utekaji, mauaji

    Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limeungana na makundi mbalimbali ya Watanzania kulaani matukio ya mauaji na utekaji yaliyotokea nchini, huku likiitisha maombi maalumu ya...

  4. Dk Biteko aungana na waombolezaji maziko ya Askofu Sendoro Mwanga 

    Katika ibada ya maziko inaongozwa na mkuu wa KKKT, Dk Alex Malasusa

  5. Dk Biteko kuongoza waombolezaji maziko ya Askofu Sendoro

    Askofu Sendoro alifariki dunia Septemba 9, 2024 kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Kisangiro, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro saa 1:30 usiku

  6. DC Mwanga aeleza maneno ya mwisho ya Askofu Sendoro

    Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Mwanahamis Munkunda, amesimulia mazungumzo ya mwisho kati yake na Askofu Chediel Sendoro kabla ya kifo chake.

  7. Vilio vyatawala mwili wa Askofu Sendoro ukiagwa Mwanga

    Huzuni na majonzi vimetanda miongoni mwa mamia ya waombolezaji waliohudhuria katika Kanisa Kuu la Mwanga, Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, wakati mwili wa aliyekuwa...

  8. Fursa nyuma ya unywaji wa kahawa ya ndani

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema unywaji wa kahawa nchini bado si wa kuridhisha, hivyo ameitaka Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) kushirikiana na wadau kuwahamasisha Watanzania...

  9. Wahamiaji 14 kutoka Ethiopia wakamatwa Kilimanjaro

    Wahamiaji 14, raia wa Ethiopia, wamekamatwa na Jeshi la Uhamiaji mkoani Kilimanjaro wakituhumiwa kuingia nchini kinyume cha sheria.

  10. VIDEO: Polisi yapiga marufuku maandamano ya Chadema

    Misime ametoa onyo kwa viongozi wa Chadema kuacha kuhamasisha uvunjifu wa amani na kuwa atakayekaidi hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Previous

Page 14 of 89

Next