Maimu, wenzake wafutiwa mashitaka, wakamatwa tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewafutia mashtaka aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu na wenzake sita.
Usafiri bado mwiba Dar, Moshi Wakati muhula mpya wa masomo kwa shule za msingi na sekondari ukianza leo, baadhi ya wanafunzi, walimu watashindwa kuhudhuria vipindi kutokana na kukosa usafiri.
Wasafiri Moshi – Dar wakosa usafiri, warejea majumbani Moshi. Mamia ya wasafiri wameshindwa kusafiri leo Alhamisi Januari 3, 2019 kutoka Moshi mkoani Kilimanjaro kuelekea mikoa mbalimbali nchini Tanzania kutokana na uhaba wa mabas
Membe asali misa ya Krismasi St Joseph Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Serikali ya awamu ya nne, Bernard Membe amekuwa miongoni mwa waumini wa dini ya kikristo walioshiriki ibada ya Krismasi katika kanisa...
VIDEO: Vurugu zatawala uchaguzi jijini Arusha Matukio ya mgombea kujeruhiwa, mbunge kupigwa, viongozi wa vyama na wafuasi kujeruhiwa ni baadhi ya mambo yaliyotawala jijini Arusha katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana.
Mshikemshike uchaguzi mdogo wa ubunge, udiwani Vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo vinalalamika kuchezewa rafu
Mvua ilivyoleta uharibifu, maafa Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikitoa tahadhari kwamba mvua haitarajiwi kupungua katika siku za karibuni, madhara yameripotiwa katika maeneo kadhaa nchini vikiwamo vifo vya watu...
VIDEO-Kambi ya upinzani yaitaka Serikali kutilia mkazo mjadala wa elimu Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeitaka Serikali kutilia mkazo ushauri uliotolewa na marais wastaafu Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete wa kuwapo kwa mjadala wa kitaifa wa elimu.
Mwangwi wa Aprili 26 Wakati Marekani na Uingereza zikitoa tahadhari kwa raia wake waliopo hapa nchini kuhusu maandamano yanayopangwa mitandaoni kufanyika kesho, polisi wamewakamata watu wanaodaiwa kuyaratibu.
Apiga magoti kumshukuru JPM, wabunge wa CCM, upinzani wachuana vikali Mbunge kupiga magoti, baadhi yao kuzuiwa kuendelea kuchangia ni miongoni mwa mambo yaliyojitokeza jana katika mjadala wa bajeti ya ofisi ya Rais - Tamisemi na Menejimenti ya Utumishi wa Umma na...