Mahakama Kuu yasimamisha uamuzi kesi ya Dk Slaa Kisutu
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imesimamisha uamuzi wa kesi inayomkabili mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbroad Slaa, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, iliyopangwa...