Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. Wakaangaji wa kahawa wataka bidhaa hiyo kuwekwa nembo ya 'Made in Tanzania'

    Wakaangaji wa kahawa nchini wameiomba Serikali kuhakikisha kahawa inayouzwa katika masoko mbalimbali ya kimataifa inawekwa nembo ya “Made in Tanzania” kwa lengo la kuitangaza zaidi bidhaa hiyo...

  2. Mwombolezaji afariki dunia kwenye msiba wa mwanafunzi wa IFM, Kilimanjaro

    Mwombolezaji Leah Ngowi, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60 mkazi wa Kiboriloni wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia akiwa kwenye msiba wa aliyekuwa mwanafunzi wa Taasisi ya...

  3. Mwanafunzi IFM azikwa bila kichwa kijijini kwao, mama mzazi atoa ujumbe

    Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), James Temba aliyeuawa na mwili wake kukutwa ukielea katika Mto Msimbani, eneo la Baracuda jijini Dar es Salaam, umezikwa katika makaburi...

  4. Mamia ya waombolezaji wafurika mazishi mwanafunzi wa IFM aliyekatwa kichwa

    Mamia ya waombolezaji wamefurika katika mazishi ya aliyekuwa mwanafunzi wa chuo cha Usimamizi wa fedha (IFM), James Temba (24), aliyeuawa kwa kukatwa shingo na mwili wake kukutwa ukiwa unaelea...

  5. Mwili wa mwanafunzi IFM aliyekatwa kichwa wawasili Moshi, kuzikwa leo

    Mwili wa mwanafunzi James Temba (24) aliyeuawa kwa kukatwa shingo na mwili wake kukutwa unaelea katika Mto Msimbazi, jiijini Dar es Salaam James Temba umewasili leo Alhamisi Mei 7, 2026 katika...

  6. Tani 28 za magendo zakamatwa mpaka wa Tarakea, Rombo

    Rombo. Katika kudhibiti uingizwaji wa magendo nchini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Kilimanjaro imekamata tani 28.15 za zao la Makadamia yaliyokuwa yakisafirishwa na kuingizwa nchini...

  7. Nauli za bajaji zapaa Moshi, wananchi wataka Serikali kuingilia kati

    Wakati bajaji zikiendelea kufanya biashara kama daladala katikati ya Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, baadhi ya wananchi wamelalamikia kupandishiwa nauli kiholela, hali inayowafanya baadhi...

  8. Aliyepinga kufukuzwa kazi HESLB akwama mahakamani

    Katika hoja zake, alidai kunyimwa haki ya msingi ya kusikilizwa kwa kuwa hakupatiwa ripoti ya uchunguzi iliyotumika dhidi yake, jambo lililomnyima nafasi ya kuandaa utetezi wa kina.

  9. Walimu wanaostaafu Moshi watahadharishwa  kuepuka matapeli

    Meneja wa MRT Sacoss, Bosco Simba amesema walimu hao wakipewa mafunzo ya mara kwa mara itasaidia kuwaondoa katika wimbi la kutapeliwa ambalo limeongezeka siku za hivi karibuni.

  10. Unyanyapaa, imani potofu vyakwamisha utambuzi wa mapema watoto wenye usonji

    Familia zenye watoto wenye changamoto ya usonji zinaendelea kukabiliwa na unyanyapaa, huku tafiti zikionyesha familia nyingi hukimbilia kutafuta msaada kupitia maombi na tiba za jadi.

Previous

Page 3 of 144

Next