Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. Kalish: Utajiri wa kweli ni kuwasaidia wengine

    Askofu Glorious Shoo amesema, ziara ya Kalish inalenga kuangalia namna ya kushirikiana katika kuwasaidia watoto kutoka familia zisizo na uwezo.

  2. Hospitali ya Mawenzi yapewa vifaa vyaSh217 milioni kuwanusuru watoto wachanga

    Wakati Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mawenzi ikikabiliwa na ongezeko kubwa la watoto wachanga, hasa wale wanaozaliwa kabla ya kufikia muda kamili wa ujauzito (njiti), Mpango wa NEST360 kwa...

  3. Waliofariki kwa ajali iliyotokea Same, wazikwa

    Mamia ya wananchi wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wamejitokeza kushiriki maziko ya watu watatu wa familia tatu tofauti waliofariki dunia katika ajali ya magari mawili ya abiria yaliyogongana na...

  4. Miili 36 ya ajali ya Same ilivyoagwa KCMC

    Shughuli ya kuaga miili hiyo imefanyika leo Alhamisi Julai 3, 2025 kwenye viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) mjini Moshi

  5. Serikali yakabidhi Sh126 milioni kwa familia zilizopoteza ndugu zao ajalini Same

    Waliofariki katika ajali hiyo ni watu 42, ambapo kwenye gari dogo aina Coaster walifariki watu 31 waliokuwa wanakwenda harusini mjini Moshi, huku kwenye basi la Chanel One wakifariki watu 11.

  6. RC Babu awaomba wazawa kuwekeza hoteli Mlima Kilimanjaro

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wawekezaji na wafanyabiashara wazawa wa mkoa huo kuwekeza zaidi katika sekta ya utalii kwa kujenga hoteli ili kukabiliana na wingi wa watalii...

  7. Vilio, simanzi vyatawala KCMC ndugu wakishuhudia majeneza 36 yakiwasili

    Mpaka sasa vifo vilivyokana na ajali ya barabarani vimefikia 42 huku majeruhi wawili waliosalia katika hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC wakiendelea na matibabu baada ya wengine 24...

  8. Mahakama yabatilisha hukumu aliyemuua mkewe, mtoto

    Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Omary Matonya baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Moshi Daudi na mtoto...

  9. Miili 33 iliyoteketea ajalini Same kuagwa kesho KCMC, kukabidhiwa familia

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya barabarani wilayani Same, mkoani Kilimanjaro imeongezeka na kufikia 42.

    New Content Item (1)
  10. Vifo vyafikia 42 ajali ya Same

    Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na ajali ya kugongana uso kwa uso kwa magari mawili katika Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, imeongezeka na kufikia 42.

Previous

Page 28 of 144

Next