Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

71 results for Denis Sinkonde :

  1. Tunduma yatumia Sh1.3 bilioni kupunguza msongamano shuleni

    Ujenzi wa Shule ya Msingi Kokoto ulianza Januari 2022 na ulitarajiwa kukamilika Januari 2024 kwa ajili ya kupokea wanafunzi

  2. Kijiji chapata huduma ya maji miaka 40 baada ya kuanzishwa

    Wakati Mwenge wa Uhuru ukizindua mradi mkubwa wa maji utakaowanufaisha wananchi zaidi ya 7,000 katika Kijiji vya Chimbuya, Kata ya Ukwile wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, mkazi wa eneo hilo...

  3. Mwenge wazindua madarasa shule iliyoezuliwa na upepo, mvua 2022

    Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Godfrey Mzava leo Septemba Mosi, 2024, amezindua vyumba viwili vya madarasa vilivyojengwa katika Shule ya Msingi Ntungwa, iliyopo Kata ya Mkomba...

  4. Uchakavu wa madarasa unavyoweka hatarini maisha ya wanafunzi 212 Shule ya Msingi Iyuli

    Shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 212 wakiwamo wa kiume 124, huku walimu wakiwa tano wakiwamo wa kike watatu, ambapo vyumba vya madarasa vinavyotumika na vina hali mbaya ni vitano huku mahitaji...

  5. Mtoto aliyekatwa mguu amshukuru Samia kwa mguu wa bandia

    Mtoto Ebeneza anayesoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Tunduma mkoani Songwe amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupata mguu wa bandia.

  6. Serikali yashtuka mbolea ya ruzuku kuuzwa nchi ya Malawi

    Serikali imesema inaanza operesheni ya kuwakamata watu wanaodaiwa kutorosha mbolea ya ruzuku na kwenda kuiuza nchi jirani ya Malawi huku ikitoa onyo kwa madereva pikipiki wanaotajwa kutumika...

  7. Akutwa amefariki kwenye kisima cha maji Mbozi

    Kijana aliyefahamika kwa jina la Daniel Siyame (23) mkazi wa Mtaa wa Ilolo wilayani Mbozi amekutwa amefariki dunia kwenye kisima cha maji.

  8. Mwili wa mwanamke wakutwa ukielea bwawani

    Mwili wa mwanamke mmoja ambaye hajafahamika, umekutwa ukielea katika Bwawa la Mbimba, linalotumika kwa shughuli za umwagiliaji kando ya Barabara ya Tanzania - Zambia wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe.

  9. Sh486 milioni kujenga daraja Mto Isenga

    Hatimaye daraja la Mto Isenga lililopo wilayani Ileje Mkoa wa Songwe limeanza kujengwa kwa gharama ya Sh486 milioni, huku likitarajiwa kurahisisha usafiri kwa wananchi katika vijiji 71 zilivyomo...

  10. Biashara yazidi kuimarika mpaka wa Tunduma

    Mpaka wa Tunduma- Nakonde umetajwa kuwa kichocheo kikubwa cha biashara kati ya Tanzania, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), huku takwimu zikionyesha biashara katika eneo hilo...

Previous

Page 4 of 8

Next