Search

170 results for Sanjito Msafiri :

  1. Sita mbaroni Bagamoyo kwa amri ya DC

    Waliokamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya mkuu huyo wa wilaya wanadaiwa kujihusisha na vitendo vya uchochezi na kuzalisha migogoro ya ardhi

  2. Muuza maziwa jela maisha kwa ubakaji

    Mke wa mtuhumiwa na mtoto walikuwapo kortini, mke alianza kububujikwa na machozi baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo.

  3. Mahudhurio, madarasa, vifaa,  walimu tatizo  shule zikifunguliwa leo

    Upungufu wa madarasa, vifaa na walimu vimetajwa kuwa changamoto waliyoikuta wanafunzi wakati shule za msingi na sekondari zikifunguliwa kote nchini.

    New Content Item (1)
  4. Mchungaji: Vijana msichague kazi umri unakwenda

    Tabia ya kuchagua kazi za kufanya ili kujipatia kipato iliyojengeka miongoni mwa vijana nchini, imeelezwa kuwa sababu inayochangia asilimia kubwa ya kundi hilo kuendelea kuwa tegemezi, huku umri...

  5. Vijana 1,000 kupewa elimu ya afya, ujasiriamali

    Ninachopenda kusema kwa wale wanaotaka kuanzisha makanisa wafuate kanuni na wawe wakweli. Unakuta mtu anataka kusajili kanisa lakini ndani yake kuna viashiria vya tabia zisizofaa kwenye jamii au...

  6. Mchungaji: Watoto wapewe malezi bora wangali wadogo

    Amesema kwa kawaida watoto wana tabia ya kuiga vitendo na maneno, hata mwenendo mzima kutoka kwa wazazi au walezi wao, hivyo wanapofikisha umri wa utu uzima wanaona mambo wanayoyafanya ni kawaida...

  7. Wafanyabiashara Kibaha walia ubovu wa soko

    Wafanyabiashara wawataka viongozi wapya waanze na changamoto ya kukarabati paa la jengo upande wa matunda

  8. Hospitali ya Tumbi yakabiliwa na upungufu wa uniti 200 za damu

    Ili kukabiliana na upungufu wa damu salama, uongozi wa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi umeitumia siku ya maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara kuhamasisha jamii...

  9. Gari za wagonjwa kuwekewa mfumo wa taksi mtandao

    Serikali imesema iko katika hatua za mwisho kuyaunganisha magari ya kubebea wagonjwa kutoa huduma kwa mfumo wa taksi mtandao.

  10. Wakazi Chalinze waomba mitaji walime kisasa

    Chalinze. Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mbamboni, Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, Mwanaisha Abubakari àmeiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuwawekea miundombinu rafiki ikiwemo...

Previous

Page 4 of 17

Next