Kinana azitaka taasisi za kijamii zikomalie elimu ya ujasiriamali Kinana amesema endapo taasisi za kijamii zitajikita kuhamasisha elimu ya amali (ufundi), vijana wengi watapata utaalamu katika fani mbalimbali ambao utawawezesha kujiajiri, kuajiri wenzao na hata...
PRIME Vita mpya Waziri Silaa, wenyeviti wa mitaa Agizo la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kupiga marufuku wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji kujihusisha na uuzaji wa ardhi (viwanja na mashamba), limepingwa na wenyeviti hao...
Mkutano wa Jukwaa la Vijana wa Kiislamu Arusha kufanyika kesho Kiongozi wa Jukwaa la Vijana wa Kiislamu Arusha, Kassim Degega amesema maandalizi yote muhimu ya mkutano yamekamilika
Abiria wa treni waliokwama Arusha, wasafirishwa kwa mabasi Hali ilikuwa vivyo hivyo kwa abiria waliokwama Moshi ambao walikuwa wakienda Arusha. Wamesafirishwa kwa mabasi madogo ya kukodi.
PRIME Washtakiwa wawili walivyoibua tuhuma za kuteswa na polisi Jana katika simulizi yetu kutoka mahakamani tuliwaletea utetezi wa mshtakiwa wa tano, Karim Kihundwa na katika simulizi ya leo tutawaletea za washtakiwa wawili.
Watoto wa vigogo wang’ara uchaguzi Chipukizi CCM Qaillah Bilal, mtoto wa msanii Nurdin Bilal maarufu Shetta, ameibuka kidedea kuwa mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa.
Sheikh Alhad asema bado yupo benchi, Bakwata ikitimiza miaka 55 Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limeadhimisha miaka 55 tangu kuanzishwa kwake, likijivunia mafanikio ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii na kulinda amani na utulivu nchini.
Watoto wa vigogo serikalini wachuana Chipukizi CCM Chipukizi ni Idara ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) inayojikita katika kuwakuza na kuwalea watoto ili waje kuwa viongozi ndani ya chama hicho.
Nabii GeorDavie: Msiba wa Nisher umeniachia deni kwa vijana Nisher alianza kuumwa mwishoni mwa Novemba na madaktari walihangaika kuokoa maisha yake lakini alifariki dunia Desemba 12, 2023.
Sita wahukumiwa kifo mlipuko Kanisa la Olasiti Shauri hilo lilianza kusikilizwa mfululizo Oktoba 2,2023 hadi Novemba kabla ya kuahirishwa kwa ajili ya hukumu iliyosomwa juzi na Jaji Nkwabi.