Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for Stephano Simbeye :

  1. Abiria 20 wanusurika kifo ajali Songwe

    Zaidi ya abiria 20 waliokuwa wakisafiri kwa basi dogo aina ya Coaster lililotokea Tunduma kwenda Mpemba katika Barabara ya Tunduma Mbeya wamenusurika kifo baada ya lori la mafuta kufeli breki na...

  2. Anayedaiwa kumuua mfanyakazi Tanesco naye auawa

    Polisi Mkoa wa Songwe imesema mtu anayedaiwa kumuua kikatili mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Angela Shekinyau (33) usiku wa kuamkia Jumatatu ya wiki hii naye ameuawa wakati...

  3. Wanafunzi 13,000 hawajaripoti kidato cha kwanza Songwe

    Zaidi ya wanafunzi 13,000 sawa na asilimia 63 wa kidato cha kwanza mkoani Songwe waliochaguliwa kuanza masomo Januari 9 mwaka huu, hawajaripoti shuleni hadi leo Ijumaa.

  4. Serikali kuboresha mfumo wa utoaji mbolea ya ruzuku nchini

    Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema miongoni mwa changamoto zilizotokea ni pamoja na wakulima kukaa muda mrefu kwenye foleni bila kupata huduma, matatizo ya kimtandao ambapo katika msimu ujao...

  5. Waziri Bashe ahoji kuachiwa kwa mawakala wanaotorosha mbolea ya ruzuku nje ya nchi

    Waziri wa Kilimo ashangazwa wahujumu mbolea za ruzuku kuwa nje huku waliokutwa wakisafisha utumbo mtoni wakihukumiwa.

  6. Wakulima walalama mawakala ‘kuficha’ mbolea ya ruzuku

    Wakulima wa mikoa ya Songwe na Mbeya, wanalalamikia kitendo wanachodai kuwa baadhi ya mawakala wanaficha mbolea ya ruzuku, hali inayowaletea usumbufu mkubwa.

  7. Wananchi Songwe waomba miche ya miti ya kupanda majumbani

    Uhaba wa upatikanaji wa miche ya miti ya kupanda imewatia hofu wadau kutekeleza agizo la kupanda miti kwenye kaya.

  8. Gesi asilia kuanza kusambazwa nchi nzima

    Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema limeandaa mpango maalumu wa kuanza kusambaza nishati ya gesi asilia kupitia mabomba makubwa kwa lengo la kuwafikia wateja wengi katika...

  9. Watano mbaroni kuanzisha kiwanda feki cha sukari Songwe

    Wafanyabiashara watano wakazi wa Mlowo wilayani Mbozi mkoani Songwe wanashikiliwa Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kukutwa na sukari ilioghushiwa na kufanana na nembo ya Kiwanda cha Sukari cha...

  10. Afungwa maisha gerezani kwa kumbaka mtoto wa miaka sita

    Mkazi wa Ilembo, Kata ya Vwawa wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, Betwel Anyalwisye (51), amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka sita.

Previous

Page 6 of 14

Next