Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1437 results for Janeth Joseph :

  1. VIDEO: Simulizi ya mtoto wa miaka 14 anayelea wadogo zake watano

    Baba yake alifariki dunia, mama yake ana changamoto ya afya ya akili

  2. Mwanafunzi 'Umbwe Boys' asimulia dakika za mwisho mwenzao aliyefia mazoezini

    Neno la mwisho alituambia anajisikia kuchoka na anaishiwa nguvu, alivyosema vile hazikupita hata sekunde kadhaa akaanguka chini.

  3. Mwanafunzi Umbwe 'boys' afariki dunia akifanya mazoezi

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa akizungumza na Mwananchi leo Jumatano Agosti 14, 2024, amekiri kutokea kwa kifo cha mwanafunzi huyo huku akisema taarifa zaidi atazitoa baadaye.

  4. Viongozi wa dini walaani mauaji ya mtoto Amedeus

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo, akisema mwili wa mtoto huyo ulikutwa umefunikwa na majani ya mgomba

  5. Mtoto wa miaka saba adhalilishwa, auawa kwa kunyongwa

    Mwili wa mtoto huyo ulifichwa kwenye shamba la migomba.

  6. Afariki dunia kwa kutumbukia kwenye kisima cha mafuta

    Kituo hicho cha mafuta kinachodaiwa kumilikiwa na mfanyabiashara maarufu mjini hapa, kilikuwa kikifanyiwa ukarabati baada ya kukaa kwa muda mrefu.

  7. Mzee wa kanisa azikwa, Katibu wa jimbo ataka Serikali kukagua madereva

    Wakati mamia ya waombolezaji wakiaga mwili wa Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kimashuku, Kantate Munis (42) na mzee wa kanisa hilo, Laban Kweka (50), Katibu wa Jimbo la Hai Dayosisi ya...

  8. VIDEO: Vilio vyatawala Mchungaji Kantante, mzee wa kanisa wakiagwa

    Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na jopo la wachungaji kutoka Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamefurika nje na ndani ya Kanisa la Ebenezer Usharika wa...

  9. Mwili wa Mchungaji Kantate kuagwa leo, mazishi Old Moshi

    Mwili wa Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kimashuku, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Kantate Munis (42) aliyefariki dunia kwa ajali ya gari...

  10. Atupwa jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka 13 Rombo

    Mahakama ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, mkazi wa Kijiji cha Mbomai, wilayani humo, Ally Mbwambo (41) kwa kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka 13.

Previous

Page 55 of 144

Next