Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

93 results for Nkwazi Mhango, Canada :

  1. Baada ya Nawander, mfyatue Bwashee

    Juzi mafyatu tulisuuzika roho baada ya kuvuja tuhuma za doktari Yah-yah Nawander kumbaki mwanachuo huko Shimiyu. I just wonder about Nawander. Sitafyatuka mengi. Uchunguzi haujakamilika. Sijui...

  2. PRIME Hii kaya sasa ya sanii, kila kitu sanii, sanaa

    Kodi naingia fukoni yake. Sirkal nafanya sanii. Nakwenda bungeni. Nalialia na chovu naona yeye zalendo. Kama Pina nachambua yeye, naona fisadi kuba. Napoteza kodi.

  3. Miiko na nguzo za ndoa (2)

    Leo tunaendelea tulipoishia kuhusiana na miiko na nguzo za ndoa. Karibuni tuendelee.

  4. Rahis, waziri wako wa fedheha anatuhujumu

    Mtukufu Dk, Dk, Dk, Dk, Dk Rahis. Naambwa unazo PhD tano. Sina tabia ya kupongeza. Hivyo, kwa taadhima, nakuomba usishangae. Mie ni fyatu. Si msifiaji wala chawa. Ndo maana sianzi kwa mashairi...

  5. Mafyatu kumkaribisha Rahis kuzindua kijiwe

    Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule...

  6. PRIME FYATU MFYATUZI: Namna ya kuukwamua mgongano-muungano wetu

    Fyatu Mfyatuzi, mwanazuoni, mzalendo, na mwanamapinduzi asiye kifani, nimejitoa kuchangia madini ya kuondokana na mgongano-muungano. Sihitaji kukaribishwa wala kulipwa kusaidia kufanikisha azma...

  7. Wanandoa watofautishe kupenda na kutaka

    Kila mtu humpenda mwingine. Vivyo hivyo, anaweza kumtaka au kutakiwa na mwingine. Hakuna asiyejua kupenda ingawa si wote wanaopenda ifaavyo na inavyotakiwa. Muhimu ni kujua kupenda na kutaka ni...

  8. Mafyatu tunakumiss Edward Sokoine

    Najua umelala kwa miaka 40. Juzi nilisikia chawa mmoja akikuita mzee. Kwa uchache, nikupe bonge la kumbukizi. Uliondoka mbichi, miaka 45 tena kwa utata. Hata hivyo, ilisemekana, ulifyatuliwa na...

  9. PRIME Chanzo mauaji ya wanandoa hiki hapa

    Taarifa za mauaji ya wanandoa zinazidi kuongezeka kiasi cha kukera na kutisha. Haupiti mwezi, na sasa wiki, bila kusikia taarifa za mume kumuua mkewe kwa sababu mbalimbali, kuu ikiwa wivu wa...

  10. Kwa ripoti hii ya CAG, Rahis anzisha ‘lifestyle audit’

    Mpendwa Rahisi, sorry, Raisa, nisikuzeeshe kukuita mama, tunakaribiana kiumri. Usijali lugha yangu. Tatizo ni ufyatu. Dhiki zimenifyatua hadi nafyatuka, kuchanganyikiwa, kuchanganyika huku...

Previous

Page 7 of 10

Next