PRIME Mheshimiwa Janwari Marope, tusikie diaspora Janwari Marope a.k.a Maghoe kwa washambaa na wanyika. Nzeze? Nkhozeza Osie. Juzi nilikuona ukihojiwa na fyatu aitwaye Petro Eliyasi (siyo aliyemuasi mwana wa Adamu). Tuyaache.
PRIME Toka enzi za wananchi wanyonge hadi machawa Mafyatu tumejengewa dhana na utamaduni mchafu na hovyo. Tumepewa majina ya hovyo sababu tu hovyo. Tunaonekana hivyo. Tuligeuzwa wanyonge wao wababe, tukaamini, tukaupokea, kukubali, kutukuza...
CcM inapofyatua kiki kutufyatua kitikiki Chama cha Mafyatu (CcM) kina sera ya Kisanii na Kizushi, sorry, ya Kishua na Kivungio (KIKI). Kutokana na KIKI kushika kasi, wapo mafyatu kaidi wanaoiita Kutapeli Institute in Kula Inchi, Kuzuga...
Waraka wangu kwa Joni Kanywaji Mugful Nakusalimia na kukuandikia waraka wa kumbukizi baada ya kuanza kusahaulika kirejareja na kirahisi. Kwa niaba ya mafyatu wote akiwamo Bi Mkubwa wako, nachukua fursa hii kuzoza nawe hata kama...
Umekwenda Mzee Mwinyi, Hamba Kahle Shehe Ali, hukuwa ila mja safi mnyenyekevu, mwenye heshima hata kwa waliokuwa chini yako. Ulipewa mikoba mwaka 1985 wakati taifa likiwa kwenye hali mbaya kiuchumi si kutokana na uongozi mbaya...
PRIME Mgao wa umeme Bongo ni uhujumu uchumi, haki Doktari Okot, sorry, N’Dotto Meshaka Bitek’o salama fyatu wangu? Kwanza, nikushukuru kupenda kusoma vitu vyangu. Nilifurahi nilipojua kuwa nawe ni fyatu wangu. Tuyaache. Juzi nilikusikia ukitoa...
PRIME Niamini, SGR itaanza majaribio Yesu akirudi Tangu kaya ianze kujimwambafy na kujaribu kujenga reli ya mwendokasi usio kasi ila ukakasi, nini kimefanyika? Kwa tuliojua kila kitu, tulifyatuka kuwa mngoje baadhi ya mafyatu wafyatue njuluku na...
PRIME Buriani Eddie Luwasha, mafyatu watakukumbuka kwa mengi “Kifo, kifo, kifo hakina huruma”, alijiimbia fyatu Remi Ongaka asijue bila kuwepo kifo haki isingetendeka. Juzi mafyatu walipopokea msiba wa Eddie Luwasha aka Richmonduli yero ambaye hakutumia...
Ushauri wangu kwa Doktari Nchembuz Doktari Lameki Mkumbo Madilu Nchembuz, kwa vile unapenda kuitwa doktari hata kama udoktari wenyewe ngwengwe, acha nikuite ili tuelewene. Naomba usome hii kitu kimyakimya. Usimuonyeshe fyatu yeyote.
Kumbe Mirirani imefamilishwa kwa akina Riz One na nduguze haya sasa Katika kujimwambafy, kuwatapeli na kuwafyatua mafyatu, si chawa wa maza aitwaye David Albat Bashiti alitinga Mirerani ili kuwafyatua mafyatu waufyate na kuamini wana viongozi wanaowafaa, wasijue...