Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1440 results for Janeth Joseph :

  1. Mwanafunzi afariki dunia kwa kujinyonga akitaka kuigiza kama 'movie' akiamini hatakufa

    Mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Majengo wilayani Same, mkoani Kilimanjaro Brian Elisha Godson (12) amejiua kwa kujinyonga akitaka kuigiza kama filamu ya kujinyonga aliyoipenda...

  2. PRIME Padri Soka alivyoruka viunzi kesi za ubakaji

    Padri Sosthenes Soka (42) amefanikiwa kupangua kesi ya tatu miongoni mwa kesi za ubakaji wa watoto wa mafundisho ya Kipaimara alizokuwa zinamkabili.

  3. Padri Soka apangua kesi 3 za ubakaji, sasa yupo huru

    Akielezea hukumu hiyo, wakili wa upande wa utetezi, Edwin Silayo alieleza kuwa baada ya mahakama kufuatilia mwenendo wa kesi pamoja na kusikiliza mashahidi wa pande zote upande wa mashtaka...

  4. Vijana wafichua kufufua michezo kutapunguza ulevi Rombo

    Vijana Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamemshukuru Mbunge wa Rombo, Profesa Adolf Mkenda kwa namna alivyoibua michezo katika wilaya hiyo na kusema itawapa fursa ya kufanya shughuli za michezo...

  5. Padri Soka apangua kesi nyingine ya ubakaji

    Padri Sosthenes Soka (42) wa Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi ameendelea kupangua kesi za ubakaji zinazomkabili baada ya jana kuachiwa huru katika kesi ya pili.

  6. Serikali yakamilisha ujenzi shule Rombo

    Shule mbili za kidato cha tano na sita za Mahida na Keni zilizoanzishwa kwa nguvu za wananchi na kushindwa kuendelea kwa zaidi ya miaka 10 wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro zimeanza kupokea...

  7. Waziri wa Elimu azungumzia mwanafunzi aliyedai nafasi yake imeuzwa

    Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema ameona taarifa inayosamba mtandaoni ikieleza mwanafunzi aliyemaliza Shule ya Sekondari Mkombozi iliyopo Wilaya ya Same, Safael...

  8. Tamisemi: Hakuna mwanafunzi aliyenyang'anywa haki yake

    Serikali kupitia ofisi ya Rais-Tamisemi imesema hakuna mwanafunzi aliyenyang'anywa haki yake ya kuendelea na kidato cha tano katika shule ya Sekondari Namwai iliyopo Wilaya ya Siha na kwamba...

  9. DC aonya wafugaji kuwatandika viboko wakulima

    Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameziagiza halmashauri za vijiji na kata wilayani humo kuunda kamati za usuluhishi zitakazotatua migogoro baina ya wakulima na wafugaji...

  10. Padri Soka apangua kesi ya ubakaji, mahakama yamwachia huru

    Katika kesi ya kwanza namba 44 ya mwaka 2022 aliyoachiliwa nayo huru, Septemba 22, mwaka huu akikabiliwa na kosa la ubakaji na ulawiti wa mtoto wa miaka 12 upande wa mashitaka ulishindwa...

Previous

Page 79 of 144

Next