Dereva bajaji mbaroni, adaiwa kumuua mlinzi ofisi ya DC Moshi
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, linamshikilia dereva bajaji, Abdan Abdi, mkazi wa Majengo kwa Mtei, Manispaa ya Moshi, kwa tuhuma za mauaji ya Michael Dastani Ngulizi, aliyekuwa mlinzi ofisi...