Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

649 results for Beldina Nyakeke :

  1. Amuua mpenzi wake akimtuhumu kumuambukiza Ukimwi

    Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia Samwel Emmanuel (20) kwa tuhuma za mauaji ya Josephina Magani (52), kwa madai kwamba alimwambukiza virusi vya Ukimwi.

  2. Sh43 milioni za AHF kuimarisha udhibiti maambukizi ya Ukimwi

    Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na mapambano dhidi ya Ukimwi, Healthcare Foundation (AHF), limekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh43 milioni kwa ajili ya...

  3. Vijana 1,700 wakabidhiwa leseni za kuchimba dhahabu Tarime

    Tarime. Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara uliopo Nyamongo, mkoani Mara, imetoa leseni 100 kwa ajili ya wachimbaji wadogo vijana zaidi ya 1,700 wilayani...

  4. Wanasayansi watakiwa kutumia lugha inayoeleweka kwa jamii

    Mbali na lugha rahisi pia wanasayansi hao wametakiwa kutumia njia mbalimbali na rahisi ikiwepo hadithi kuwasilisha tafiti zao kwa jamii.

  5. Muuguzi auawa kwa kuchomwa kisu, muuaji adaiwa kujinyonga

    Baada ya kufanya tukio hilo mtuhumiwa huyo alikimbilia kusikojulikana hata hivyo mwili wake kukutwa ukiwa unaning'inia kwenye mti akiwa amefariki dunia kwa kujinyonga.

  6. Sh130 milioni zalipa malimbikizo michango ya watendaji kata, madereva

    Mamlaka za serikali za mitaa mkoani Mara zimetumia zaidi ya Sh130.3 milioni kulipia malimbikizo ya michango ya watumishi wa kada za watendaji wa kata, madereva na walinzi, ambayo haikuwasilishwa...

  7. PRIME Mizengwe ya uchaguzi yaanza CCM, wajumbe walalama kuwekwa kando

    Zaidi ya wajumbe 100 wa mabaraza ya mashina ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka matawi mbalimbali ya Kata ya Nyamuswa, wilayani Bunda, mkoani Mara, wameripoti kuondolewa kwenye nafasi zao.

  8. Serikali yatatua changamoto ya vitabu sekondari ya Ingwe Mara

    Tarime. Serikali imekabidhi vitabu 760 kwa Shule ya Sekondari ya Ingwe iliyopo Wilaya ya Tarime mkoani Mara kwaajili ya wanafunzi 332 wa kidato cha tano na sita ambao walikuwa wakikabiliwa na...

  9. Mwalimu mkuu jela miaka 30 kwa kumbaka, kumlawiti mwanafunzi

    Akiwa amelala alishtuka kumuona mtu akiingia chumbani humo na alimtambua kuwa ni mshtakiwa kwani taa zilikuwa zinawaka.

  10. Katekista, wengine watatu wahofiwa kufa maji Ziwa Victoria

    Miili ya watu watatu wanaohofiwa kufariki dunia baada ya kuzama ndani ya Ziwa Victoria katika kisiwa cha Rukuba wilayani Musoma bado haijapatikana.

Page 1 of 65

Next