UCHAMBUZI WA MJEMA: Enock umekufa kifo cha kikatili, damu yako itumike kuimarisha utawala wa sheria
Mauaji ya kikatili ya kijana Enock Thomas Mhangwa wa mkoani Geita, yanaumiza, yanahuzunisha, yanaudhi na yanatia hasira, lakini ukweli tumefika hapo kama Taifa kwa sababu ya baadhi yetu kutojali...