Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

816 results for Daniel Mjema :

  1. PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Profesa Kitila, umezunguka sana lakini jawabu ni Katiba mpya

    Jumanne ya Julai 8, 2025 nilipata bahati ya kufuatilia mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), akielezea mchakato...

  2. Mahakama yaridhia Wamarekani kumuasili mtoto mchanga aliyetupwa Geita

    Tunamrudishia tabasamu, ndio kauli unayoweza kuelezea uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, kuridhia ombi la raia wa Marekani la kumuasili mtoto wa Kitanzania aliyetupwa na mama yake akiwa kichanga.

  3. PRIME UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Tuache mzaha, hiki si kizazi cha kupewa ahadi hewa majukwaani

    Tumebakiza siku 110 kama uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 26,2025, lakini tunashuhudia baadhi viongozi wa vyama vya upinzani na watia nia, wakitoa ahadi zisizotekelezeka hadi unajiuliza...

  4. PRIME DPP akwaa kisiki kutaifisha lori la Kenya lililokamatwa na wahamiaji haramu

    Sasa ni dhahiri imekuwa mfupa mgumu kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuitupa rufaa yake kupinga lori la Kenya lililokamatwa likiwa na wahamiaji haramu...

  5. PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Enock umekufa kifo cha kikatili, damu yako itumike kuimarisha utawala wa sheria

    Mauaji ya kikatili ya kijana Enock Thomas Mhangwa wa mkoani Geita, yanaumiza, yanahuzunisha, yanaudhi na yanatia hasira, lakini ukweli tumefika hapo kama Taifa kwa sababu ya baadhi yetu kutojali...

  6. PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Sababu 10 za ‘kibongo bongo’ kwanini asilimia 50 ya wabunge hawatarudi 2025

    Wanasayansi wa masuala ya siasa wanabainisha sababu kadhaa zinazofanya baadhi ya wabunge wasichaguliwe tena.

  7. PRIME UCHAMBUZI MJEMA: ‘CCM itapata kipimo sahihi upinzani imara ukijitokeza uchaguzi’

    Kuna kila dalili kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambacho ndicho chama Kikuu cha Upinzani nchini, hakitaweza kushiriki uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani wa 2025 kwa...

  8. PRIME Kauli ya ‘mwanamme suruali’ ilivyosababisha mauaji

    Ni kweli ndoa inahitaji uvumilivu lakini kuna maneno ukimtamkia mumeo yanaweza yasikuache salama, hiki ndicho kilichotokea, baada ya mume kumuua mkewe bila kukusudia baada ya kuitwa mwanamume...

  9. PRIME Kifo cha mfungwa kilivyomsotesha gerezani mkuu wa gereza, wasaidizi wake kwa siku 1,110

    Mahakama ya Rufani nchini, imewaachia huru mkuu wa Gereza la Kipule Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Mrakibu wa Magereza (SP), Girbet Sindani na maofisa wake wawili, waliokuwa wakitumikia kifungo...

  10. PRIME UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Msichafuane ili kuongoza kura za maoni wala msichukue fomu kuuza sura

    Vyama vya siasa mtafanya kosa kubwa sana endapo mtawateua waliochukua fomu za ubunge kufanya mzaha na kushusha hadhi ya mhimili wa Bunge, yaani kuna watu wanachukua fomu kama vile maigizo hadi...

Page 1 of 82

Next