Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

779 results for Daniel Mjema :

  1. PRIME Mauaji ya Kikatili, Paroko wa Kanisa Katoliki atekwa, auawa

    Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, imebainika Padri Maina alikuwa akifuatiliwa na baadhi ya watu waliokuwa wakimtaka awagawie pesa alizodaiwa kupewa baada ya kuongoza sherehe ya Jubilei ya miaka 25...

  2. PRIME Aliyekata rufaa kupinga miaka 30, aongezewa kifungo cha maisha jela

    Hakuridhishwa na uamuzi wa Mahakama Kuu akakata rufaa Mahakama ya Rufani Tanzania, akiegemea sababu 19 kuishawishi mahakama imwachie huru, badala yake ameongezewa kifungo na kuwa cha maisha jela.

  3. PRIME Msomi alivyokwaa kisiki kortini akipigania shahada ya uzamili

    Kitanga alifungua maombi mwaka 2024 dhidi ya Bodi ya Utawala (Governing Board) ya CBE na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), akiomba Mahakama ipitie upya uamuzi wa bodi hiyo wa kumnyima vyeti vyake.

  4. PRIME Utapeli wa ‘tuma kwenye namba hii’ unavyoshika kasi

    Kwa mujibu wa TCRA, idadi ya laini za simu zinazotumika kwa mawasiliano hapa Tanzania imeongezeka kwa asilimia 4.1 kutoka laini milioni 86.8 Desemba 2024 hadi kufikia laini milioni 90.4 Machi 2025.

  5. PRIME Mangi Marealle akimbilia Mahakama Kuu

    Marealle aliomba Mahakama itoe amri kwa mjibu maombi, Ackley Marealle anayemtuhumu kuingia kimakosa katika eneo lake, alipe gharama za kesi hiyo ambayo imekuwa ikifuatiliwa na wakazi wa ndani na...

  6. PRIME Haya ndio makundi yenye ‘dawa’ ya kumaliza utekaji

    Kabla sijayataja makundi hayo, ningependa kurejea Ibara ya 13(6)(e) ya Katiba ya Tanzania inayosema ni marufuku kwa mtu kuteswa, kuadhibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha,...

  7. PRIME Mangi Marealle akwaa tena kisiki

    Mfanyabiashara mashuhuri na Mangi wa wachaga wa Marangu, Mkoa wa Kilimanjaro, Frank Marealle, anayetaka mwili wa mama yake mdogo ufukuliwe na kuzikwa eneo lingine kwa madai eneo hilo ni mali...

  8. Wachungaji KKKT: Msuya atakumbukwa kusimamia kuzaliwa Dayosisi ya Mwanga

    Licha ya wachungaji kutengwa, lakini mzee Msuya aliendelea kusimama nao kwani hata mkewe, Rhoda Msuya na mwanae, Geofrey Msuya walipofariki kwa nyakati tofauti mwaka 2005, walizikwa na wachungaji...

  9. PRIME Katibu wa Chadema Kilimanjaro asimamishwa, mwenyewe aeleza mwanzo mwisho

    Lema anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi waliohudumu kwa muda mrefu katika wadhifa huo, akihudumu kuanzia mwaka 2009 na chini ya uongozi wake, chama hicho kilifanya vizuri mkoani humo uchaguzi...

  10. PRIME Vigogo Chadema kutua Chaumma

    Hata hivyo, baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wanaona Chadema itatetereka kwa kiasi fulani hata kama haitashiriki uchaguzi, kwa kuwa makada hao ndio walikuwa kama injini kwenye uongozi wa Mbowe.

Page 1 of 78

Next