Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1918 results for Tatu Mohamed :

  1. Al Ahly yaikazia Inter Miami ya Messi Kombe la Dunia la Klabu

    Inter Miami ya Lionel Messi wa imelazimishwa suluhu na Al Ahly ya Misri katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

  2. Bajeti ilivyotumika kupoza mjadala wa usalama nchini

    Mjadala unaoendelea kuhusu matishio ya kiusalama yakiwemo matukio ya ama watu kutekwa au kuuawa ambayo yamezua wasiwasi nchini, umemlazimu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutumia hotuba ya...

  3. PRIME Majimbo haya Singida usibeti, kila mtu bingwa

    Majimbo matatu kati ya manane yaliyopo mkoani Singida hayatabiriki, kwa sababu inaelezwa huenda yeyote anaweza kupenya kutokana na nguvu za ushawishi kutoka kwa wagombea wanaoyanyemelea kwa sasa.

  4. PRIME Mahakama yazuia shughuli za Chadema kwa muda

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imezuia kwa muda shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katibu mkuu, mawakala na wafuasi wa chama hicho kushiriki...

  5. PRIME Chadema chaanza vibaya kesi ya mgogoro wa mgawanyo raslimali

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza vibaya katika kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa raslimali za chama hicho, baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam kutupilia mbali...

  6. PRIME Ofa tatu zambakisha Tshabalala Simba

    Simba imepanga kumalizana haraka na nahodha na beki wake Mohamed Hussein 'Tshabalala' muda mfupi baada ya msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/2025 kumalizika.

  7. Baada ya TLP na SAU, Mgaywa aibukia ADC kuwania urais

    Mwanasiasa Mutamwega Mgaywa, baada ya kugombea urais wa Muungano mara mbili bila mafanikio kupitia vyama vya Tanzania Labour Party (TLP) na Chama cha Sauti ya Umma (SAU), sasa ameibuka kupitia...

  8. PRIME Raia wa Kenya aliyedai ni Mtanzania, afukuzwa nchini

    Mamlaka za Tanzania zimesisitiza kuwa kitambulisho cha Taifa cha Tanzania kinachotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), pasi ya Kusafiria ya Tanzania na cheti cha kuzaliwa alivyokuwa...

  9. PRIME Mume aliyejaribu kumuua mkewe jela miaka 19

    Mahakama ya Rufani nchini imepunguza kwa miezi sita kifungo cha Michael Mlelwa, aliyepatikana na hatia ya kujaribu kumuua aliyekuwa mke wake, Ava Kavalukutu kwa kumkata na panga mara tatu...

  10. PRIME Wanandoa acheni huu ‘umbumbumbu’

    Ujinga, ukatili, na unyama wa kijinsia ni matokeo ya kutoelimika na kustaarabika kwa jamii. Kama hazai watoto wa kiume, si umuache kuliko kumuua?

Page 1 of 192

Next