CUF kupata mgombea urais Agosti Wakati makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiendelea kujitokeza kuchukua fomu kuomba ridhaa za chama chao kugombea nafasi za udiwani, ubunge na urais chama hicho kimesema kinatarajia kufanya...
Ufaulu kidato cha sita wapanda Akitangaza matokeo hayo leo Julai 7, 2025 katika ofisi za Necta Zanzibar, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Profesa Said Mohamed, amesema watahiniwa 790 hawakufanya mithani sawa na silimia 0.62.
PRIME Undani soko la nyama choma la Kumbilamoto Dar Je, umewahi kusikia kuhusu soko la nyama choma la Kumbilamoto? Mie nimesikia habari zake kwa watu kadhaa, nikaweka mpango wa kuandaa mtoko wa kwenda kula nyama choma, mwishoni mwa wiki.
PRIME Kwa heri Mzee Samatta, utakumbukwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, aliwahi kusema maisha ya mwanadamu ni hadithi tu hapa ulimwengu, kwa sasa msemo huo unatumika kumsimulia maisha...
Mahakama yabatilisha hukumu aliyemuua mkewe, mtoto Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Omary Matonya baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Moshi Daudi na mtoto wao...
Zege halilali...wengine wajitosa ubunge CCM, yumo Mama Salma Kikwete Mchakato huo unatarajiwa kukamilika Julai 2, 2025 ambapo tayari wabunge wanaotetea majimbo yao, wabunge wa zamani, watoto wa vigogo na wafanyabiashara, wamejitokeza kuchukua fomu.
Prisons, Fountain mmoja anabaki Kitendawili cha kujua ni timu gani kati ya maafande wa Tanzania Prisons dhidi ya Fountain Gate cha kubakia Ligi Kuu Bara msimu ujao, kitateguliwa leo saa 10:00 jioni, wakati miamba hiyo...
PRIME Tuzo Bara ni Ahoua, Pacome Jana ilikuwa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ambapo Yanga ilicheza dhidi ya Singida Black Stars.
Yanga wamebeba tena Duke Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Aliyekosa fursa kuwania urais TLP aipata ADC, Hamad Rashid… Chama cha Alliance For Change, (ADC), kimemchagua Wilson Elias kuwa mpeperusha bendera kwa tiketi ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu...