Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. PRIME Elimu na maadili ni sawa na watoto pacha

    Katika elimu hiyo tuliyorithi kwa mababu zetu, na ukiangalia historia za falsafa zote za binadamu, utagundua kwamba hawakutenganisha elimu hiyo, au tamaduni hizo, au falsafa hizo na maadili.

  2. PRIME Wahitimu sasa watumia vyeti kuombea mikopo ya kausha damu

    Kadri taifa linavyoendelea kusonga mbele kwenye ajenda ya maendeleo, huenda huu ndiyo wakati mwafaka wa kuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu maana halisi ya thamani ya shahada na kama inapaswa kweli...

  3. Elimu nyumbani wajibu uliosahaulika na wazazi wengi

    Familia ya Semu ni kielelezo cha uwajibikaji wa wazazi katika kuwaandaa watoto kielimu. Hata hivyo, ni wazazi wangapi wanaotekeleza wajibu huu ili kudhibiti elimu ya watoto wao?

  4. Mikopo ya elimu ya juu yaongezeka

    Akiwasilisha bajeti hiyo, Profesa Mkenda amesema kati ya wanafunzi hao 252,773, 88,320 ni wa mwaka wa kwanza na wanaoendelea ni 164,453.

  5. ‘Lenacapavir’ dawa iliyoonyesha ufanisi kuzuia VVU kwa asilimia 100

    Dawa ya sindano aina ya lenacapavir inayozuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi, imeonyesha ufanisi kwa asilimia 100 katika jaribio la kwanza la utafiti nchini Uganda.

  6. Wauguzi wapaza sauti wingi wa majukumu, WHO wakitoa ripoti

    Wakati dunia ikiadhimisha siku ya wauguzi, Chama cha Wauguzi Tanzania (Tanna) kimepaza sauti kuhusu upungufu wa watumishi wa kada hiyo nchini kufikia asilimia 52 kutoka 47 iliyokuwapo miaka...

  7. PRIME Wenye miaka 40 hatarini matumizi ya uzazi wa mpango

    Baadhi ya wanawake wamekuwa wakitumia njia za uzazi wa mpango bila kuzingatia hali zao, hivyo kujiweka kwenye hatari ya kupata magonjwa sugu.

  8. PRIME Umewahi kujishtaki kwa mwenza wako?

    Tofauti na kwenye maisha ya kawaida, mwanandoa anapomkosea mwenzake, ama anaweza kukana na kuongeza tatizo, au matatizo au kuamua kujishitaki kwa mwenzie ili wapata namna ya kushughulikia kosa...

  9. PRIME Njia nane za kumrudi mwenza akikosea

    Ingawa baadhi ya watu huamini kwamba kutoa adhabu kwa mwenza ni njia ya kumrekebisha au kumkanya, njia hii mara nyingi huleta madhara zaidi kuliko faida.

  10. PRIME Kashfa, kejeli vinapogubika talaka za mastaa

    Kejeli zimekuwa zikishuhudiwa kwenye mitandao ya kijamii, baadhi wanapoachana hutumia jukwaa hilo kueleza udhaifu wa mwenzake. Wapo wanaokwenda mbali zaidi na kuanika kwa umma mambo ambayo...

  11. PRIME Hatari teknolojia ya ChatGPT inapoaminika kuliko mzazi

    Hapa nafanya nazungumza na Damari, mwanafunzi wa shahada katika taasisi moja ya elimu ya juu jijini Dar es Salaam.

  12. PRIME Usijaribu kuoa kisa huruma kwa mwanamke

    Tumeshuhudia rafiki zetu wengi wakisema namuoa fulani kwa sababu ana ujauzito wangu, nyumbani kwao watamnyanyasa sana kwa kupata mimba nje ya ndoa nisipomuoa.

  13. Kisasi cha mtoto kwa mzazi ni matokeo ya maumivu uliyompa

    Kuna aina ya visasi ambavyo watoto huwalipiza wazazi wao, ambao waliwatendea ndivyo sivyo walipokuwa wadogo.

  14. Serikali kupima vyuo vikuu kwa ubora wa tafiti, ufundishaji

    Chuo hicho kimepandishwa hadhi na Serikali kutoka kuwa Chuo Kikuu Kishiriki cha Tiba na Afya (KCMUCo) kuwa chuo kikuu kamili.

  15. TET yajitosa kuelimisha matumizi ya akili bandia

    Dar es Salaam. Walimu na wanafunzi nchini wanatarajia kunufaika na mkataba mpya uliosainiwa kati ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Kampuni ya Tanzania AI Community, wenye lengo la kuboresha...

  16. Mabadiliko  homoni yanavyoathiri  sukari kwa wanawake

    Kwa wanawake, mabadiliko ya homoni hutokea wakati wa mzunguko wa hedhi, ujauzito, kunyonyesha, na wakati wa kukoma hedhi. Hali hizi zinaweza kuwa na athari kubwa kwa udhibiti wa viwango vya sukari.

  17. PRIME Watu hawa hatari kuoga maji baridi

    Wazee wanaweza kupatwa na shida ya kushuka kwa joto la mwili kwa urahisi zaidi, sambamba na watoto wadogo wanaoweza kuwa na ugumu wa kudhibiti joto la mwili wao kwa haraka.

  18. PRIME Jinsi ya kukabiliana na mfadhaiko, wanawake waongoza

    Takwimu shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa wanawake ndio waathirika zaidi wa mkazo wa akili kuliko wanaume. Asilimia 75 hadi – 90 hufika katika huduma za afya kulalamikia mambo...

  19. PRIME Waokota taka hatarini kupata magonjwa haya

    Hatari hizi zipo katika nyanja za kiafya, kimazingira, na kijamii, na pia kuna changamoto za kisheria na kijamii zinazohusiana na kazi hii.

  20. Huu ndio umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu ya awali

    Wakati utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la mwaka 2023 ukiendelea, wadau wa elimu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha uwekezaji mkubwa unafanyika kwenye...