Kinyongo kinavyopoteza upendo ndani ya familia Kama sio mke, mume au watoto wameuana basi utasikia matukio kama baba amembaka binti yake au amemlawiti mwanaye, utasikia mama amechoma viganja vya mtoto wake.
Aeleza alivyofukuzwa kwao alipofaulu sekondari Mtoto mwenye umri wa miaka 16 (jina tunalihifadhi)ameeleza adha aliyoipata baada ya kufukuzwa nyumbani kwao na wazazi wake baada ya kufaulu kuingia kidato cha kwanza.
Shule za bweni kwa jicho la saikolojia, malezi Mapema mwaka huu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ilipiga marufuku shule za msingi kutoa huduma ya bweni kwa wanafunzi wa madarasa ya awali, darasa la kwanza hadi la nne.
Sakaya afichua sababu ndoa za wabunge kuvunjika Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya amewashauri wanawake wanaoingia kwenye ubunge kuhakikisha wanapangilia muda wao, ikiwamo kuzingatia familia kwa kuwa ndiyo kila...
Gharama upandikizaji mimba mwiba Kulingana na chama cha wataalamu wa magonjwa America, kushindwa kupata mtoto kwa mwanamke kunamsababishia kupata aibu, unyanyapaa pamoja na kupitia changamoto ya afya ya akili.
Ndani ya Boksi: Mnara wa Babeli, chanzo cha lugha nyingi duniani Ikapita miaka mingi. Wana wa Nuhu nao wakazaa watoto wengi sana. Watoto wao walikua na kuzaa watoto wengi zaidi. Na hapo ndipo kukawa na watu wengi zaidi duniani.
Abaya, vazi linalozidi kupata umaarufu Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mavazi marefu yenye stara na heshima ndiyo hupewa kipaumbele zaidi.
Profesa Anangisye: UDSM hatutoi digrii kama njugu Watu wa Tanganyika ndiyo wenye kiu na njaa ya elimu. Elimu ni ufunguo wa maendeleo ya maisha ya watu katika nchi hii. Kwa maendeleo ya Taifa lazima watu wawe na elimu, ujuzi na maarifa.”
Ukweli kuhusu maziwa na uondoaji vumbi mwilini Umewahi kusikia mtu anayefanya shughuli kwenye eneo lenye vumbi akisema amejiwekea utaratibu wa kunywa maziwa kila siku, ili kupunguza uwezekano wa madhara yanayoweza kujitokeza kwa vumbi hilo...
Maradhi yanayosumbua jamii, namna ya kuyakabili Wakati Tanzania leo ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya afya duniani, ikiwa na kaulimbiu ya ‘afya kwa wote’, wataalamu wa afya nchini wameyataja maradhi yanaoisumbua jamii na namna...
Maajabu ya Gidion na ndoto za kuwa mwanasayansi, mbunifu Aliyesema ukistaajabu ya Firauni utayaona ya Mussa, ni kama ameakisi maisha ya Gidion Moses (14) mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mwatulole mkoani Geita.
Matumizi sahihi ya sindano za insulin Tiba ya sindano za insulin mara nyingi hutumiwa na wenye aina ya kwanza ya kisukari, wanawake wajawazito wenye kisukari cha mimba na wakati mwingine mwenye aina ya pili ya kisukari anaweza...
Mwongozo ulaji sahihi kwa wanaofunga Wakati Waislamu wameanza kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ni muhimu wakazingatia mpangilio sahihi wa makundi ya vyakula wakati wa kufungua (kufuturu), ili waendelee kuimarisha afya zao.
Mtikisiko mpya kidato cha 5&6 Ni kupoteza muda. Hii ndiyo kauli iliyo kwenye midomo ya wahitimu wengi wa kidato cha nne walioamua kujiunga na vyuo vya kati, badala ya kuendelea na masomo ya kidato cha tano na sita, licha ya...
TUONGEE KIUME: Neno mwanamume linavyotuumiza wanaume Ulipokuwa mtoto, ukiumia, ukaanza kulia, kama utabahatika kuambiwa pole basi neno litakalofuata litakuwa ni “nyamaza, wanaume hawalii.”
Safari ya maisha na mikasa mizito kwa Afande Sele Sikumfahamu, nilimuona ni mwanamke tu amekaa sebuleni, nilimsalimia na kuendelea na shughuli zangu naye aliniangalia bila kusema chochote, hivyo ndivyo nilivyokutana na mama yangu mzazi kwa mara...
Tamu, chungu mtoto kusoma bweni Tuache mjadala nani anapaswa kusoma shule ya bweni nani hapaswi. Hata mjadala wa umri wa mwanafunzi kwenda bweni unaweza kutafutiwa siku yake!
Halima alivyojiandaa kuelekea Miss World Mei 2023 Mrembo anayeshikilia taji la Miss Tanzania mwaka 2022, Halima Kopwe anatarajia kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World Mei mwaka huu, ambayo yatafanyika katika nchi za Umoja...
Asha Baraka 'The Iron Lady' asiyekubali kushindwa Desemba 17 mwaka jana, bendi kongwe ya muziki wa dansi nchini, African Stars ‘Twanga Pepeta’ ilizindua albamu yake ya 15 ‘Twanga Pepeta Forever’ ikiwa ni miaka 24 imepita tangu kuanzishwa kwake.
Je wajua kulala kifudifudi ni salamu ya heshima Nigeria Jambo moja linalowatofautisha binadamu na ulimwengu wa wanyama ni tabia ya kukuza mila na desturi katika kila kitu kinacho wazunguka kuanzia urembo wa kimila hadi tabia.