Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Deci mpya yatafuna mamilioni Kilimanjaro

Moshi. Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba! ndivyo unavyoweza kusema baada ya viongozi wa dini na waumini kuchangishwa mamilioni ya fedha kwa ahadi ya kujengewa makanisa, kupewa mikopo isiyo na riba na ajira.

Viongozi wa dini na waumini wapatao 40,000 walichangishwa fedha hizo na Shirika la kidini la United Missionary Foundation Tanzania (UM).

Kujua undani wa habari hii, jipatie nakala yako ya gazeti la Mwananchi leo Machi 08, 2021