Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mbowe katika muonekano tofauti mahakamani

Muktasari:

  •  Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kwa takribani miezi minne sasa.

    


Dar es Salaam. Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kwa takribani miezi minne sasa.

    

Katika siku za karibuni imeshuhudiwa katika usikilizaji wa shauri hilo zikiibuka kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi, na hiyo ni kutokana na  upande wa utetezi kupiga maelezo kuwasilishwa  mahakama kama kielelezo katika kesi hiyo.

Mwananchi Digital inakuletea habari picha za Mbowe katika siku tofauti alizokuwa akifikishwa mahakamani hapo kusikiliza mashtaka yanayomkabili.

Mbali na Mbowe, washtakiwa wengine ni Halfan Bwire Hassan, Adamu Hassan Kasekwa maarufu kama Adamoo na Mohamed Abdillahi Ling’wenya.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwa ndani ya Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwa ndani ya Mahakama  Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi