Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

91 results for Ananias Khalula :

  1. Bodaboda wapatiwa mbinu kutambua abiria wanaobeba dawa za kulevya

    Bukoba. Madereva wa bodaboda kanda ya Ziwa wamepatiwa mafunzo ya kutambua abiria wanaobeba dawa za kulevya, ili kuepuka kuhusika na uhalifu wa usafirishaji wa dawa hizo, ambalo linaweza...

  2. Mgogoro wa mgawano wa fedha za Tasaf kati ya mama na mwanaye wasuluhishwa

    Timu ya Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia katika Halmashauri ya wilaya Biharamulo imefanikiwa kumaliza Mgogoro kati ya Mama na Mwanaye waliokuwa wakigombania Fedha za Mfuko wa Maendeleo...

  3. MSLAC yawafikia waumini makanisani kutatua migogoro

    Waumini wa madhehebu ya kikristo katika halmashauri ya Wilaya Biharamulo wafikiwa na na timu ya wataalamu ya Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia makanisani wakutuma wawakilishi kutatua...

  4. MSLAC wafanikiwa kusuluhisha mgogoro wa ndoa Biharamulo

    Timu ya Kampeni msaada wa kisheria ya Mama Samia (Samia Legal aid Campaign) imefanikiwa kusuruhisha mgogoro wa kindoa kati ya Janeth Hulika na mume wake Masumbuko Laurent uliyodumu kipindi cha...

  5. Waziri Dk Ndumbaro atangaza kiama kwa wasomi wanaotajwa migogoro ya ardhi

    Waziri wa katiba na sheria Dk Damas Ndumbaro ametangaza kiama kwa baadhi ya wasomi, maprofesa na madaktari wanaosababisha migogoro kwenye jamii hasa ile ya ardhi kuwakandamiza wananchi wa kipato...

  6. Kagera wananchi wanakabiliwa Migogoro ya ardhi, kesi 200 kupokelewa kila mwezi kwenye mabaraza

    Wananchi Mkoa wa Kagera wametajwa kukabiliwa na changamoto ya migogoro ya ardhi, Mirathi na ukatili wa kijinsia huku ile ya ardhi ikihusishwa kupokelewa kwa wingi katika mabaraza.

  7. Mwanafunzi kidato cha nne adaiwa kujinyonga hadi kufa kwa waya

    “Kareni mwanangu, sikuwahi kugombana naye zaidi ya masuala ya masomo. Alikuwa na ndoto nyingi, aliniahidi mambo mengi ya kubadilisha maisha yangu."

  8. PRIME Polisi yashutumiwa kushikiliwa Toyota Probox Kagera, RPC ajibu

    Bukoba. Wakati Robert Razalo, mkazi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, akisimulia anayopitia baada ya gari lake aina ya Toyota Probox kushikiliwa kituo cha polisi likidaiwa kuwa la wizi, jeshi...

  9. Wauza pombe kali watano wafikishwa mahakamani

    Kesi hiyo imesikilizwa katika chumba cha mficho cha usikilizwaji cha mahakama chini ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo, Eliapokea Wilisoni.

  10. Kifo cha mwanafunzi Polisi, mzazi watofautiana

    Polisi Mkoa wa Kagera wamesema chanzo cha kifo cha mwanafunzi aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Tumusime, Janeth Mbegaya (7) hakijatokana na kubakwa wala kulawitiwa.

Page 1 of 10

Next