Search

137 results for Happy Lazaro :

  1. Tanzania kuanza utafiti nguvu ya nyuklia kuzalisha umeme

    Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania imesema imejipanga kuhakikisha maabara yake ya kisasa iliyopo mkoani Arusha inatumika kuzalisha matokeo ya tafiti, kujibu changamoto kwenye teknolojia husika na...

  2. Kituo cha kidigitali kwa walimu chafunguliwa Arusha

    Arusha. Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela imezindua kituo cha elimu kwa njia ya kidigitali (C-CoDE) ambacho kimegharimu zaidi ya dola 100,000 na kitatumika kwa ajili ya...

  3. Dawa la anguko ufaulu wa hisabati

    Katika kila wanafunzi 10 wa sekondari waliofanya mtihani wa hesabu kwa kipindi cha miaka mitano, ni wawili pekee ndiyo waliofaulu.

  4. Kiwanda cha Chanzi Arusha hatarini kufungwa

    Baraza la Taifa la Hifadhi za Usimamizi wa Mazingira NEMC limetoa siku saba kwa mmiliki wa kiwanda cha kuzalisha virutubisho vya mifugo cha Chanzi kilichopo Njiro jijini Arusha, kudhibiti harufu...

  5. Naibu katibu mkuu apiga marufuku kutorosha mifugo nje ya nchi

    Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo, Dokta Daniel Mushi ameutaka uongozi wa Wilaya ya Longido kujipanga na kuweka doria za kutosha mipakani ili kuzuia utoroshaji wa mifugo ambayo inapelekwa...

  6. Waziri Mchengerwa azindua bodi mbili za wakurugenzi Tanapa, TTB

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua bodi mbili za wakurugenzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) pamoja na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), alizoziteua hivi karibuni na...

  7. Bakwata: Jukumu letu ni kuishauri, kuiunga mkono Serikali

    Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Nuhu Mruma ameeleza ni jukumu la viongozi wa dini kuishauri, kushirikiana na kuiungana na Serikali katika kuiombea nchi na viongozi wake.

  8. Wanasiasa, polisi, ofisi za umma waongoza kwa rushwa

    Rais Samia Suluhu Hassan ametaja maeneo yanayoongoza kwa rushwa nchini kuwa ni wanasiasa, Jeshi la Polisi, ofisi za umma, Mahakama kuwa baadhi ya maeneo yanayoongoza kwa kuwa na vitendo vya...

  9. ‘Shirikianeni, shikamaneni kupunguza rushwa Afrika’

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleman Abdulla amezitaka nchi mbalimbali barani Afrika kushirikiana na kushikamana ili kupunguza vitendo vya rushwa barani Afrika.

  10. Waziri Ummy: Takribani watu 132, 000 nchini huambukizwa Kifua Kikuu kila mwaka

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kwamba takribani watu 132, 000 hapa nchini, wanaambukizwa ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) kila mwaka, huku wengine 25, 800 huripotiwa kufariki ambao ni wastani wa...

Page 1 of 14

Next