Search

146 results for Devotha Kihwelo :

  1. TAEC ilivyookoa maisha ya watu dhidi ya mionzi

    Tume ya Nguvu za Atomic Tanzania (TAEC) imezuia matukio 17 yaliyohusiana na mionzi ambayo yalikuwa na uwezekano wa kuleta madhara

  2. Wafugaji wataka bima ya mifugo

    Wafugaji wameomba kuwe na bima ya mifugo iwapo watakufa au kupata ajali, ambayo itafungua fursa zaidi za soko la ajira katika mnyororo wa thamani.

  3. Vijana wapewa ‘mchongo’ sekta ya kilimo

    Vijana wametakiwa kujitokeza kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kwa kujiunga katika vikundi, ili kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa urahisi, uzoefu na elimu ya kifedha.

  4. Majaliwa ataka ufugaji wa kisasa, kilimo chapigiwa chapuo

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekitaka Chama cha Wafugaji Tanzania kutoa elimu ya ufugaji kwa wanaojishughulisha na sekta hiyo ili waifanye kitaalamu.

  5. PRIME Ukifanya haya unaathiri makuzi ya mtoto wako

    Kila mtoto ana ndoto ya kuishi maisha mazuri bila kujali anatokea katika familia ya maisha aina gani, iwe ya kitajiri, kati hata ya kimasikini, ndiyo maana wapo wanaopambana tangu wakiwa wadogo.

  6. Waokota chupa za plastiki wakatiwa bima ya afya

    Amesema uzalishwaji wa chupa za plastiki ni mkubwa lakini urejeshwaji wake umekuwa na changamoto, hususani kwenye chupa za rangi ambazo waokotaji hawazichukui kutokana na gharama yake kuwa ndogo.

  7. Taasisi ya HakiElimu yatoa mapendekezo matano kwa Serikali

    Taasisi ya HakiElimu imetoa mapendekezo matano kwa Serikali inapoelekea katika upangaji wa bajeti ya sekta ya elimu kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambayo ni kuhusu bajeti ya uajiri na mafunzo ya...

    New Content Item (2)
  8. Mbunge wa CCM, wadau washauri tatizo la vivuko Kigamboni

    Wananchi wa Kigamboni wameeleza uchache wa vivuko ni sababu ya kushindwa kuvuka kwa wakati hali inayojitokeza nyakati za usiku na asubuh. Wametoa mapendekezo ya nini cha kufanyika kumaliza tatizo...

    New Content Item (2)
  9. Rais Mwinyi atia neno Kombe la Muungano

    Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amesema ni wazo zuri aliloamua Rais Samia Suluhu Hassan kurudisha kombe la Muungano kwani watakuwa wamethamini Muungano kwa kurudisha kombe hilo hivyo...

  10. Rais Samia azindua vitabu kuhusu Muungano, agusia Baraza la Mawaziri

    Rais Samia Suluhu Hassan amezindua vitabu viwili kuhusu Muungano akitaka vitafsiriwe kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza kuwezesha Watanzania na wageni kuvielewa.

Previous

Page 2 of 15

Next