Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. IGP Wambura aonya wananchi kujichukulia sheria mkononi

    Amesema askari hao wamepikwa vizuri shuleni hapo na wapo tayari kuitumikia nchi yao kwa uzalendo na kwa weledi mkubwa.

  2. Chuo cha Uhamiaji kutumia tafiti kutatua changamoto za uhamiaji

    Moshi. Katika juhudi za kuboresha na kuimarisha masuala ya usalama na uhamiaji nchini, Chuo cha Kikanda cha Uhamiaji (Trita) kilichopo mkoani Kilimanjaro, kimejipanga kutumia tafiti mbalimbali za...

  3. Aliyemlawiti mtoto wa rafiki yake akwama Mahakama Kuu

    Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imebariki hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya mkazi wa Geita, Frank Joseph, aliyepatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa rafiki yake mwenye...

  4. Takukuru yarejesha Sh11.4 milioni zilizolipwa kwa mtumishi hewa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imefanikiwa kurejesha serikalini Sh11.4 milioni, baada ya kubaini kuwa mmoja wa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya...

  5. Saratani inavyotesa watoto, KCMC kufanya utafiti

    Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), imesema wataalamu wake watafanya utafiti kubaini sababu ya asilimia 40 ya wagonjwa 6,000 wanaopatiwa matibabu kila mwaka hospitalini kuwa ni kundi...

  6. Asilimia 40 ya wanaohitaji tiba ya mionzi KCMC ni watoto

    Wakati Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC, ikiona wagonjwa wa saratani takribani 6,000 kila mwaka, asilimia 40 ya wagonjwa hao ambao wanahitaji tiba ya mionzi ni watoto.

  7. Waliokuwa wafanyakazi Teku wakwaa kisiki mahakamani

    Mahakama ya Rufani imebatilisha uamuzi wa Mahakama Kuu na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) uliokuwa umewapa ushindi wafanyakazi wanane wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (Teku), ikisema...

  8. Uchunguzi wabaini eneo la ardhi lililotitia Same, halifai kwa makazi ya watu

    Siku chache baada ya wataalamu wa jiolojia kufika katika eneo ambalo ardhi yake ilikuwa ikititia na kusababisha mipasuko kwenye makazi ya wananchi katika Kijiji cha Marieni, Kata ya Chome, Wilaya...

  9. Adaiwa kumuua baba yake mkubwa Rombo, mgogoro wa ardhi watajwa

    Mzee mwenye umri wa miaka 75, Mkazi wa Mbomai juu, kata ya Tarakea Motamburu, Wilaya ya Rombo, Mkoani Kilimanjaro, Thomas Silayo ameuawa kwa kutenganishwa mguu na mkono wakati wa kusuluhisha...

  10. Digital Iris yarahisisha uchunguzi wa saratani Hospitali ya Mawenzi

    Moshi. Badala ya kulazimika kusubiri kwa siku nzima au zaidi ili kubaini viashiria vya mwanzo vya saratani ya mlango wa kizazi, hatimaye ugonjwa huo utabainika ndani ya dakika moja katika...

Previous

Page 2 of 144

Next