Kauli Bunge sio chombo cha machawa yazua majibizano Mnyukano wa hoja umeibuka, baada ya kauli ya Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe aliyetaka bunge lisidogoshwe kwa kuonekana ni chombo ambacho hata machawa na wachekeshaji...
ACT Wazalendo: Muaji ya Enock matokeo ya kuporomoka kwa maadili ya viongozi Chama ACT Wazalendo, kimesema kutokea kwa matukio kama la kupigwa hadi kuuawa kwa kijana Enock Mhangwa mkoani Geita, ni matokeo ya kuporomoka kwa maadili kwa baadhi ya viongozi sambamba na...
Zitto atahadharisha Watanzania na watu wanaosaka ubunge Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka Watanzania kuwa makini na watu wanaosaka ubunge akisema imefikia hatua wachekeshaji, wasanii na watangazaji...
Zitto agusa umasikini wa Watanzania, awapa mbinu Chama hicho kimefafanua kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ibara ya 9 (i) imeanisha juhudi zote zielekezwe katika kuondoa umasikini ambao kimedai Serikali imeshindwa kutekeleza jukumu la kupunguza...
Zitto: ACT Wazalendo tunashiriki uchaguzi kwa masilahi ya Watanzania Amesema ACT Wazalendo, kinawapenda na kuwajali Watanzania na viongozi wake wanaamini nguvu ya wananchi kwenye upigaji kura.
Operesheni Majimaji ya ACT- Wazalendo kuanza leo Kigoma Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, leo Jumanne Julai 1, 2025 anaanza ziara yake ya siku 15 katika mikoa saba nchini, ikiwa ni mwanzo wa Operesheni Majimaji ya chama hicho.
ACT-Wazalendo kuja na 'Operesheni Majimaji' Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kuja na kampeni ya 'Operesheni Majimaji' yenye lengo la kuwaamsha Watanzania kurejesha thamani ya kura zao.
Zitto: Kura imepoteza thamani, ACT Wazalendo tunajipanga kulinda ushindi Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kura ya wananchi imepoteza thamani katika chaguzi tatu zilizopita.
PRIME Anguko la vyama vikongwe na kuibuka kwa vyama vichanga Mvutano huo hauishii kwenye majukwaa ya kampeni tu, bali umeenea kwenye fikra za wapiga kura, mitazamo ya wachambuzi wa siasa na hata ndani ya taasisi za utafiti.
PRIME Waliokuwa wabunge wapiga jaramba kurudi bungeni Kwenye kundi hilo wapo walikuwa mawaziri na naibu mawaziri wameonyesha nia ya kuingia katika uchaguzi mkuu ujao kuchuana na wenzao walioingia mwaka 2020 ambao wamebakisha siku 23 kumaliza...