Wazazi wa mhitimu SUA aliyeuawa wamwangukia Rais Samia
Vilio na simanzi vimetawala katika mazishi ya mhitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), Magreth Mashuwe (22), huku wazazi wake wakimwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mauaji...