Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

89 results for Mbonea Herman :

  1. Simulizi ya bodaboda kuuawa Handeni, msako waanza

    Kijana mmoja anayejishughulisha na bodaboda, Muhando Chambo, ameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana katika Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga. Tukio hilo limethibitishwa na Polisi huku familia...

  2. Wakazi Tangasisi walia adha ya mafuriko, waiomba Serikali iwasaidie

    Kila mvua inaponyesha, wakazi wa Mtaa wa Tangasisi jijini Tanga hulazimika kuanza upya mapambano ya kuokoa maisha yao na mali zao hali ambayo sasa wameichoka na kuiomba Serikali iingilie kati kwa...

  3. Coastal Union yawinda vipaji chipukizi kupitia Tanga City Cup

    Timu ya Coastal Union ya jijini Tanga imeanza mchakato wa kuwanyemelea wachezaji chipukizi wenye vipaji maalumu waliojitokeza katika mashindano ya Tanga City Cup yaliyoanza Aprili 11, 2026...

  4. Wafanyakazi wa Tanga wawasilisha hoja 16 wakitaka hatua za haraka kuboresha mazingira ya kazi

    Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) Mkoa wa Tanga limeiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kutatua kero 16 kwa ajili ya kuboresha mazingira ya kazi kwa wafanyakazi na...

  5. Wasanii, familia wamwaga chozi wakimzika msanii Spack Tanga 

    Manjozi na vilio vimetawala wakati wasanii, ndugu, jamaa na marafiki wakimpumzisha aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Suleiman Vunde maarufu Spack, kwenye nyumba yake ya milele katika...

  6. Safari ya Johari: kutoka kufukuzwa shule hadi kupigania ndoto

    Johari Mashaka alianza safari yake ya elimu mwaka 2000, akiwa na ndoto kama watoto wengine, lakini ndoto hiyo ilikatizwa ghafla na uamuzi uliomuumiza moyo.

  7. PRIME Simulizi mwanafamilia aliyepotea akitoka msibani Bagamoyo

    Soma zaidi hapa...

  8. Operesheni maalumu ya Polisi Tanga yanasa 69

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limewakamata watuhumiwa 69 wanaohusishwa na makosa mbalimbali baada ya kufanya operesheni maalumu katika maeneo tofauti ya mkoa huo.

  9. Watoto wanavyohitaji michezo kukuza ubongo

    Wataalamu wa malezi na makuzi ya watoto mkoani Tanga wameeleza wasiwasi wao kuhusu shinikizo linaloongezeka kwa watoto, wakisema wengi wananyimwa haki yao ya msingi ya kucheza, kupumzika na kukua...

  10. Wawili wafariki dunia, saba wajeruhiwa ajali basi na lori Korogwe Tanga

    Gari la abiria lililohusika katika ajali hiyo ni mali ya Kampuni ya Mapenzi ya Mungu, huku gari la mizigo ni Mitsubishi Fuso.

Previous

Page 3 of 9

Next