Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

155 results for Mary Clemence :

  1. Waziri Mchengerwa atoa maagizo wanyama waliovamia makazi ya watu waondolewe

    Waziri wa Maliasili na Utalii Mohamed Mchengerwa ameziagiza taasisi za serikali hifadhi za wanyamapori na misitu kuwatumia askari 231 waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Uhifadhi Kituo cha Mlele...

  2. Wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wachukuliwe hatua kali

    Waumini wa dini ya Kiislaam mkoani Katavi wamesherehekea sikukuu ya Eid el Fitri kwa kuunga mkono mapendekezo ya baadhi ya Wabunge ya kutunga sheria kali zitazowawajibisha watu wanaojihusisha na...

  3. Watu 24 wanaswa na polisi makosa tofauti ya uhalifu

    Jeshi la Polisi mkoani Katavi katika kipindi cha Aprili 2023 limekamata watu 24 wakituhumiwa kwa makosa tofauti ikiwamo kujihusisha na vitendo vya wizi, ujangili, kumiliki silaha kinyume cha...

  4. Baba ajinyonga chumbani kwa watoto baada ya kuchoka kuumwa ngiri

    Aden Mwakipesile (49) mkazi wa Kijiji cha Ibindi, Wilaya ya Mpanda amejinyonga kwa kutumia kamba ya katani chumbani kwa watoto wake, kwa kile kinachodaiwa kuwa alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa...

  5. Mtoto mchanga atupwa mlangoni Katavi

    Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku 14 amekutwa ametupwa kwenye mlango wa nyumba ya Jenifa Donald mkazi wa Tabukareli mtaa wa Shauritanga Manispaa ya Mpanda.

  6. Mwili uliofukuliwa na kunyofolewa sehemu za siri, wazikwa

    Amesema baada ya polisi kujiridhisha waliamuru mwili kuzikwa kwa mara ya pili kitendo ambacho kimeleta hofu na huzuni kwa wanafamilia.

  7. Ajali ya basi yaua 9 Katavi

    Watu tisa wamepoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Kombas kuacha njia na kupinduka kwenye korongo la mlima Nkondwe wilayani Tanganyika.

  8. Vigogo MUWASA Mpanda wapandishwa kizimbani

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Katavi imewafikisha mahakamani Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mpanda (MUWASA) Hussein Nyemba na Kaimu...

  9. Katavi, Songwe wapata wenyekiti wapya CCM

    Msimamizi wa uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Katavi, Wazizi Kidamba amemtangaza Idd Hassan Kimanta kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho mkoa wa Katavi.

  10. Mvua ya upepo yaezua nyumba, kujeruhi watoto wawili Katavi

    Mvua iliyoambatana na upepo mkali imeezua nyumba 31 na kubomoa kuta zake katika Kijiji cha Tukoma, Kata ya Itenka Halmashauri ya Nsimbo huku baadhi ya familia zikikosa makazi.

Previous

Page 4 of 16

Next