Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for Bahati Mwatesa :

  1. Wakurugenzi wa H’shauri Lindi watakiwa kutenga bajeti za vifaa vya michezo

    Imeelezwa kuwa vifaa vinavyotolewa na wadau wa maendeleo vitumike kwa malengo yaliyokusudiwa.

  2. Wahudumu wa afya 4,000 ngazi ya jamii Lindi kuchaguliwa

    Imeelezwa kuwa, watoa huduma ya afya ngazi ya jamii watasaidia kuhakikisha huduma za afya zinafika kila mahali na kufanya huduma hizo kumfikia kila Mtanzania

  3. Usafiri kivuko cha MV Kitunda Lindi warejea

    Ndemanga amesema pamoja na kujiridhisha na usalama wa kivuko hicho, amewataka wahandisi wote wasiondoke ili waweze kukiangalia mwenendo wake.

  4. Viongozi wa Amcos, makarani watakiwa kuzingatia weledi

    Mwananchi imezungumza na mkulima wa ufuta Elly Singano kutoka wilayani Liwale, amesema kutokana na elimu waliyopatiwa na maofisa ugani juu ya zao la ufuta

  5. Wananchi Mtama wajichangisha Sh1.5 milioni kujenga zahanati

    Wananchi wa Kijiji cha Nahukahuka mkoani Lindi wameanza ujenzi wa zahanati ili kupunguza adha ya kutembea umbali wa kilometa tano kufuata huduma za afya katika Kijiji cha Nyangamara, kilichopo...

  6. Wakazi 1,428 Liwale kunufaika na mradi wa maji

    Mradi wa maji wilayani Liwale utakaoanza kutumika Mei 30, 2024 wananchi wameamua kuchangia Sh30 kwa ndoo moja ya maji ili kuendeleza mradi

  7. RC Lindi azuia kivuko kutumika, atoa wiki mbili kitengenezwe

    Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack ametoa wiki mbili kwa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa) kuhakikisha unamaliza tatizo la kivuko cha Mv Kitunda ili wananchi waendelee na shughuli zao...

  8. Kuelekea kimbunga Ialy, wavuvi mkao wa kula, wengine wapuuzia

    Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikitahadharisha kuhusu kimbunga Ialy kinachotarajiwa kusababisha upepo mkali nchini kesho Jumanne, Mei 21, 2024, wananchi wanaofanya shughuli zao...

  9. Wananchi 40,000 kunufaika na mradi wa maji Mtama

    Zaidi ya wakazi 40,000 wa Halmashauri ya Mtama watanufaika na mradi wa maji na usafi wa mazingira wenye thamani ya Sh1 bilioni unaotekelezwa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya “Heart to Heart”...

  10. Sido yaja na mwarobaini kukabili sumu kuvu

    Mratibu wa Kuendeleza Teknolojia, Mhandisi Abraham Malay amesema mafunzo kwa vijana yamelenga kuwasaidia kukabiliana na sumu kuvu

Previous

Page 6 of 15

Next