Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for Bahati Mwatesa :

  1. Wanawake Lindi waonywa mikopo ya ‘kausha damu’

    Wanawake 100 watapatiwa mafunzo ya ujasiriamali yatakayowasaidia kupata elimu ya masoko ili kuuza bidhaa zao ndani na nje ya nchi

  2. Mtoto afa maji baharini Lindi

    Mama mlezi wa marehemu, Sophia Hamisi amesema mtoto huyo alitoka nyumbani saa 12 jioni akasema anaelekea msikitini

  3. Wakazi 3,600 wa Lindi kunufaika na mradi wa maji

    “Niahidi mbele ya viongozi wote, ifikapo Mei 30, mradi huu wa maji wa Nanjime Mkwajuni utakuwa umekamilika na wananchi wanapata maji,” amesema Respcious.

  4. Tanroads yaanza ukarabati kalavati lililotitia mto Mbwemkuru

    Kalavati hilo lilititia juzi kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani humo. Ujenzi huo wa barabara mbadala utawezesha magari kupita wakati juhudi za kurudisha hali kama ilivyokuwa...

    New Content Item (1)
  5. Majaliwa awataka watendaji wa vijiji kutatua migogoro ya ardhi

    Amewataka watendaji wa vijiji na vitongoji kuhakikisha wanatoa elimu kwa wananchi ili kumaliza migogoro ambayo imekuwa ikileta maafa wilayani Ruangwa.

  6. Afa maji akivua samaki mtoni Lindi

    Mganga Mfawaidhi wa Kituo cha Afya Kibutuka, Dk Yohane Duway aliliambia Mwananchi kuwa baada ya uchunguzi wa mwili, walibaini sababu ya kifo ni kunywa maji mengi yaliyoingia kwenye mfumo wa hewa.

  7. Telack amtwisha zigo la migogoro ya ardhi DC mpya Kilwa

    Ni zigo la kutatua changamoto ya migogoro ya ardhi kwa wakati na sio kukaa muda mrefu bila kutolea maamuzi.

  8. Serikali yakunjua makucha mgomo wa hospitali binafsi

    Serikali imezitaka hospitali binafsi kupokea wagonjwa kulingana na masharti ya leseni na usajili wa hospitali hizo

  9. Wahudumu wa baa walalamika kunyanyaswa kazini

    "Licha ya makato yasioeleweka, pia unamkuta bosi anakutukana matusi mbele ya mteja, huo ni unyanyasaji ambao haukubaliki kabisa, kwani hata sisi tuna haki zetu," amesema Neema.

  10. Imani potofu yatajwa kukithiri ugonjwa wa vikope Lindi

    Imani potofu ya wananchi wa Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, imetajwa kuwa sababu ya kukithiri kwa ugonjwa wa vikope kutokana baadhi ya wananchi wa wilaya hiyo kuogopa matibabu ya macho wakidai...

Previous

Page 9 of 15

Next