Mbowe kuzuru Hanang kesho Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe anatarajiwa kuzuru mkoani Manyara kesho Desemba 7, 2023 kuwatembelea waathirika wa tukio la maporomoko ya tope lililotokea...
'Maonyesho ya ubunifu yatahamasisha wanafunzi kupenda sayansi' Wito umetolewa kwa mikoa na wilaya kuwa na matamasha na maonesho ya kazi za bunifu za sayansi na teknolojia zinazofanywa na wanafunzi ili kutoa hamasa kwa kundi hilo kupenda masomo ya sayansi.
PRIME DC Sophia alivyovuka vikwazo vya kazi, familia kupata PhD Tangu akiwa mtoto siasa ilikuwa ndani ya damu yake, lakini kipaumbele chake kilikuwa kwenye elimu. Hilo lilimfanya awe miongoni mwa wanafunzi vinara darasani katika ngazi zote za elimu alizopitia...
Mkenda atoa angalizo ubora wa elimu ya juu Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda amewataka wadhibiti ubora wa elimu barani Afrika kutoshawishika kushusha viwango vya ufaulu ili vyuo vipate wanafunzi wengi.
Kikwete apigia chapuo teknolojia kufikia mapinduzi ya viwanda Dar es Salaam. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema licha ya Serikali za awamu zote kuchukua hatua mbalimbali za kuleta mabadiliko kwenye sekta ya elimu, bado kazi kubwa inahitajika kufanyika...
PRIME Loveness: Mimi ni mwanamke, nitaolewa na nitazaa Uso wake ukiwa umepambwa na tabasamu, Loveness (37) alimkaribisha mwandishi na kwa haraka akaanza kuonyesha misuli aliyonayo, akifahamu fika shauku ya wengi ni kujua uhalisia wa mwili wake.
Mawaziri 22 Afrika kujadili jinsia Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa mawaziri wanaohusika na fedha na masuala ya jinsia utakaofanyika kuanzia Novemba 15 hadi 17.
Waonya kukithiri michezo ya kubahatisha nchini Wakati kampuni za michezo ya kubahatisha na kamari zikiendelea kukithiri na kuongeza watu wanaoangukia kwenye uraibu wa michezo hiyo, watalaam wa ustawi wa jamii wametoa angalizo wakisema hiyo...
DCEA yanasa bangi ‘skanka’ iliyosindikwa kilo 423 Dar Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogramu 423.54 za bangi iliyosindikwa inayofahamika skanka katika operesheni maalumu zilizofanyika kwenye mipaka na fukwe za...
Pofesa Jay asimulia mateso aliyopitia siku 462 ICU Dar es Salaam. ‘Nimepitia mengi katika siku 462 nilizokala kitandani, nimeona nimshukuru Mungu kwa ajili ya kipindi chote hicho na kunifanya niendelee kuwa hai hadi sasa na niwashukuru pia...