PRIME Samia: Tunataka amani na utulivu Rais Samia Suluhu Hassan amesema sifa njema kuhusu utulivu na amani iliyopo Tanzania iendelezwe katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
EU yaishika mkono Tanzania matumizi ya nishati safi Katika kuunga mkono mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, Umoja wa Ulaya (EU) umetoa magari mawili kwa ajili ya kutoa elimu ya umuhimu wa matumizi ya nishaji hiyo maeneo ya...
Kalage aacha kazi Hakielimu, asema… Taarifa ya kuondoka Kalage imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika hilo, Sylvester Orao akieleza mabadiliko ya uongozi wa taasisi hiyo.
CCT yasisitiza amani na utulivu uchaguzi mkuu Kiongozi huyo wa kiroho amesisitiza kufanyika kwa kampeni zisizo za kuvunjiana heshima bali zinazoweka mbele masilahi ya Taifa na kupinga vitendo vyote vya rushwa ili kuwapata viongozi wanaostahili.
Hofu ya wadau INEC ikitoa orodha ya wasimamizi wa uchaguzi Kwa mujibu wa kifungu cha sita cha sheria hiyo mpya, kifungu kidogo cha kwanza, tume inaweza kumteua mtumishi wa umma mwandamizi kuwa msimamizi wa uchaguzi kwa madhumuni ya kuendesha uchaguzi...
TRA yaandika historia mpya ya makusanyo Wakati mwaka mpya wa fedha ukianza leo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemaliza mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio, ikivuka lengo la makusanyo yake na kuandika historia mpya ya ukusanyaji.
Hii hapa mikakati ya mwenyekiti mpya wa Tamwa Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Kaanaeli Kaale ameahidi kuwa katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu miongoni mwa mambo yatakayopewa kipaumbele...
Tamwa: Mwanamke mwanasiasa ahukumiwe kwa hoja siyo jinsia Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya kuanza kwa kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu, Chama cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kimetaka kuondolewa kwa hila zote dhidi ya wanawake wanasiasa ili kutoa wigo...
Serikali yajitosa huduma za teksi mtandao Ni rasmi Serikali imejitosa kwenye huduma za teksi mtandao, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia Shirika la Posta Tanzania kuingia mkataba na kampuni ya taksi mtandao kutoa huduma za...
Rais Samia atoa ujumbe kwa viongozi Afrika Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili kushirikiana kufanikisha hatua nyingine za mageuzi ya kifikra na kutafuta uhuru wa kiuchumi.