Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

838 results for Janeth Mushi :

  1. Aliyekiri kumuua mkewe, kunyongwa hadi kufa

    Jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani ambao ni Stella Mugasha, Lucia Kairo na Mustafa Ismail walioketi Kigoma, wametoa hukumu hiyo Mei 19, 2025.

  2. Ujenzi madaraja King’ori Arusha kuondoa kero, kuokoa maisha

    Kufuatia tukio la Aprili 25, 2023 lililosababisha vifo vya watu wanne wa familia moja baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko katika eneo la King’ori, wilayani Arumeru, Serikali...

  3. PRIME Waumini wa mchungaji aliyetekwa Arusha wasimulia walichofanya kumpata

    Siku moja tangu apatikane Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35), aliyekuwa ametekwa na watu wasiojulikana, waumini wa...

  4. Mchungaji aliyetekwa Arusha akutwa porini, asimulia

    Mchungaji huyo amesema watu hao walimwambia alale chini wakamkanyaga shingoni, mmoja akawaambia wenzake wanamuachaje hapo.

  5. PRIME Watatu walivyoepa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

    Walioachiwa katika kesi hizo ni Lucas Charles, Emmanuel Charles na Abel Andrew.

  6. Wawili wahukumiwa adhabu ya kifo kwa kumuua mwenzao baada ya kutoka baa

    Awali Februari 22, 2022 Mahakama hiyo iliwahukumu adhabu hiyo ila hukumu hiyo ilibatilishwa na Mahakama ya Rufani kutokana na dosari za kisheria zilizokuwepo kwenye hukumu hiyo na kuamuru jalada...

  7. Rais Samia aitaka Tapsea kuongeza bidii kukuza uchumi

    Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amekitaka Chama cha Waandishi Waendesha Ofisi (Tapsea) kufanya kazi kwa bidii kukuza uchumi na kuwaletea wananchi na kuwa Serikali itaendelea kutatua changamoto...

  8. Mapya madai ya bima duniani

    Amesema udanganyifu wa bima si tu kosa la jinai bali ni kikwazo cha maendeleo kwani kinaporomosha imani ya wananchi katika mfumo, kuathiri uendelevu wa kampuni za bima ambazo zinafanya kazi kwa...

  9. PRIME Korti yatupilia mbali rufaa ya mhasibu dhidi ya jirani yake

    Rufaa ya Auleria inatokana na uamuzi wa Mahakama ya Wilaya Songea katika rufaa ya jinai iliyobatilisha hukumu dhidi ya Pendo na kufuta adhabu zilizotolewa kwake.

  10. Umri wamnusuru na kifungo cha maisha jela

    Mahakama ya rufani imetengua hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyohukumiwa Dickson Raymond, baada ya kukutwa na hatia ya kumlawiti mtoto wa kiume aliyekuwa na umri wa miaka minne na nusu, kisha...

Page 1 of 84

Next