Waumini wa mchungaji aliyetekwa Arusha wasimulia walichofanya kumpata
Siku moja tangu apatikane Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo lililopo Mtaa wa FFU, kata ya Muriet mkoani Arusha, Steven Jacob (35), aliyekuwa ametekwa na watu wasiojulikana, waumini wa...