Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

902 results for Janeth Mushi :

  1. Mahakama yamwachia huru aliyefungwa miaka 30 kwa wizi, ubakaji

    Mahakama ya Rufani imefuta hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela dhidi ya Kenedy Andrew, aliyekuwa amehukumiwa kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha na ubakaji.

  2. PRIME Siku 30 za ACT Wazalendo kujenga msingi wa ushindi

    Katika siku saba tangu kuanza kwa Julai 2025, Chama cha ACT Wazalendo kimekuwa kwenye harakati za kisiasa katika maeneo mbalimbali nchini, kupitia kampeni iliyopewa jina la Operesheni ‘Majimaji...

  3. Rotary Club ya Arusha Mount Meru yaanza ujenzi benki ya damu Arusha

    Katika kuboresha sekta ya afya nchini,Rotary Club ya Arusha Mount Meru kwa kushirikiana na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru,imeanza ujenzi wa benki ya damu mkoani humo ambapo...

  4. Babu aliyebaka mjukuu kisa pombe akwaa kisiki

    Mahakama Kuu Masjala Ndogo Moshi, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa babu aliyetiwa hatia kwa kumbaka mjukuu wake wa miaka 15.

  5. Wanne waliohukumiwa kwa kumuua mwanafunzi, aliyezikwa bila kichwa waachiwa

    Mwanafunzi huyo wa sekondari, Hosam Salum (18), alichinjwa na kuzikwa bila kichwa baada ya mwili wake kukutwa kwenye kichaka karibu na barabara ambapo alikuwa akitumia muda wake wa ziada...

  6. Mahakama yabatilisha hukumu aliyemuua mkewe, mtoto

    Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Omary Matonya baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Moshi Daudi na mtoto...

  7. Mabaraza ya Habari Afrika kukutana Arusha

    Mkutano huo wa siku tatu utaanza Julai 14 hadi 17,2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), ambapo Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais Dk Samia Suluhu...

  8. Kukithiri udumavu Afrika kwawaibua wadau

    Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazohusika na masuala ya lishe ( ESA SUN CSN), wamesaini mkataba wa miaka mitano wenye lengo la...

  9. Baada ya ushindi, Ngorongoro kuboresha miundombinu

    Amesema tuzo hiyo inawapa nguvu ya kusonga mbele kwa kasi na kuwa wamedhamiria kuboresha miundombinu yake yote ikiwemo ya barabara, vituo vya ulinzi na usaidizi, vituo vya watoa taarifa na malazi...

  10. Kihongosi: Sitaruhusu kikwazo cha kuzuia maendeleo Arusha

    Ameongeza kuwa jukumu lake kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kupitia usimamizi makini wa fedha na miradi inayotekelezwa na Serikali.

Page 1 of 91

Next