Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8 results for about mwananchi :

  1. Uzuri na kadhia za Hospitali ya Mloganzila

    Hospitali ya rufaa Mloganzila ni tawi la Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na ina kila aina ya vielelezo kuwa miongoni mwa taasisi za kisasa za afya Afrika Mashariki.

  2. Flyover Tazara yawatia wazimu madereva daladala, abiria walia

    Kero mpya imeibuka kwa abiria wa daladala eneo la Tazara jijini Dar es Salaam baada ya madereva wa daladala za Mnazi Mmoja- Gongo la Mboto kupitiliza vituo wakitumia zaidi barabara ya juu na...

  3. Ajali nyingine Morogoro, lori laacha njia na kuua watatu

    Watu watatu wamefariki na mmoja kujeruhiwa baada ya lori lililokuwa likitokea mkoani Ruvuma kuelekea Jijini Dar es salaam kuacha njia na kugonga gari na mtembea kwa miguu na nyumba iliyopo kando...

  4. GGML ni kampuni inayotekeleza miradi mingi ya kijamii Geita

    Kwa mujibu wa sheria mpya ya madini ya mwaka 2017 kifungu cha 105(1) kinazielekeza kampuni zote za uchimbaji wa madini kuandaa mpango wa matumizi ya fedha za huduma kwa kushirikiana na...

  5. Tume ya hakijinai yazua mjadala

    Rais Samia Suluhu Hassan mara kadhaa ameahidi kutafuta suluhisho la malalamiko kutoka katika taasisi za haki jinai ili haki ipatikane kwa wakati

  6. Makosa manane ya bodaboda yanayogharimu maisha ya watu

    Ujio wa pikipiki maarufu kama bodaboda unatajwa kuleta neema ya ajira kwa vijana na kurahisisha usafiri, lakini unadaiwa kuleta janga la ajali na kusababisha vifo na vilema vya kudumu.

  7. Wanapiga soka na kusoma vitabu

    Hawakukosea waliosema usihukumu kitabu kwa kuangalia pambo lake la nje, kabla ya kujua kilichopo ndani, ndivyo yalivyo maisha ya wanasoka wengi, nje ya uwanja wana maisha mengine tena mazuri sana.

  8. PRIME Haya ndio makundi yenye ‘dawa’ ya kumaliza utekaji

    Kabla sijayataja makundi hayo, ningependa kurejea Ibara ya 13(6)(e) ya Katiba ya Tanzania inayosema ni marufuku kwa mtu kuteswa, kuadhibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha,...