Kuelekea siku ya wakunga duniani: Serikali yazindua mradi wa thamini uzazi salama Imeelezwa kuwa dunia na Tanzania hivi sasa zinahitaji wakunga wa kitaalamu kuliko wakati mwingine wowote, lakini bado kuna msaada mdogo kwa kada hiyo.
Kuelekea siku ya wakunga duniani: Serikali yazindua mradi wa thamini uzazi salama Imeelezwa kuwa dunia na Tanzania hivi sasa zinahitaji wakunga wa kitaalamu kuliko wakati mwingine wowote, lakini bado kuna msaada mdogo kwa kada hiyo.
Mafuriko yachelewesha kufungua shule Kenya Watu 76 wamepoteza maisha nchini Kenya tangu Machi, huku mvua kubwa kuliko kawaida ikinyesha Afrika Mashariki, ikichangiwa na mufumo wa hali ya hewa wa El Nino.