Shahidi muhimu kesi ya Wakenya wanaodaiwa kuua Mtanzania kutotajwa
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imezuia kutajwa majina na mahali anapoishi, shahidi muhimu katika kesi ya mauaji ya Mtanzania Mohamed Ameir inayowakabili raia wawili wa...