Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. Mpaka wa Holili wajipanga kukabili Ebola

    Wakati mamlaka zikiendelea kuongeza umakini na kuimarisha maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini, hali katika mpaka wa Holili uliopo Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, imeelezwa...

  2. RC Babu ataka uzalishaji wa kahawa uendane na upatikanaji wa masoko

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wadau wa kahawa mkoani humo kuhakikisha kuwa uzalishaji wa zao hilo unaenda sambamba na upatikanaji wa masoko ya uhakika ili kuwawezesha...

  3. Bajaji iliyobeba wanafunzi zaidi ya 10 yanaswa, dereva afungiwa leseni

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limemkamata na kumfungia leseni kwa miezi mitatu dereva wa bajaji aliyekuwa amebeba wanafunzi zaidi ya 10 wa shule mbalimbali za msingi katika Manispaa ya...

  4. Bodaboda, bajaji Sanya waomba mikopo nafuu ya kumiliki vyombo vyao

    Serikali kupitia CCM imeahidi kufuatilia changamoto zao na kutafuta suluhisho la kudumu.

  5. PRIME Malisa: Safari ya demokrasia ya kweli bado ni ndefu

    Somazaidi hapa...

  6. PRIME Malisa asimulia machungu ya siku 183 gerezani

    Soma zaidi...

  7. PRIME Usiyoyafahamu chumba cha malkia ndani ya jengo la KNCU

    Soma zaidi hapa...

  8. Sh44 bilioni kutumika ujenzi wa mradi wa umwagiliaji Bwawa la Yongoma Same

    Serikali imetoa Sh44.1 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa umwagiliaji wa Bwawa la Yongoma, unaotarajiwa kuwanufaisha wakulima zaidi ya 23,000 katika tarafa za Ndungu na Gonja, Wilaya ya...

  9. Bakwata Kilimanjaro kuchinja ng’ombe 500 Eid Al-Adha, kugawa kwa wahitaji

    Ikiwa zimesalia siku tano kuelekea sikukuu ya Eid Al-Adha, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Kilimanjaro limepanga kuchinja ng'ombe zaidi ya 500 kusherekea pamoja na wenye uhitaji...

  10. Selasini arejea Chadema, aomba radhi

    Selasini amewahi kuwa mbunge wa Rombo mkoani Kilimanjaro kwa tiketi ya Chadema, kabla ya kuhamia NCCR Mageuzi.

Page 1 of 144

Next